Ushawahi kutunukia tunda alafu mnara usisome?

Ushawahi kutunukia tunda alafu mnara usisome?

Umeenda kusalimia ukweni, ilipofika usiku ukapewa mahali pa kulala

Usiku wa manane ukabanwa na haja ukaamua uende uani, njia ya kwenda uani inapita jikoni, kama ujuavyo vyoo vyetu vya nje

Katika kuhangaika kupapasa mlango ukaparamia vyombo vikaanguka chini (HILI SIO TATIZO)

TATIZO NI HILI
Ukiwa kwenye harakati ya kuvipanga vyombo ghafla taa inawashwa na unakutana uso kwa uso na mama mkwe (HILI NI TATIZO ILA SIO KUBWA)

TATIZO KUBWA NI HILI
Mama mkwe anakuona umeshika mwiko na sahani, mfuniko wa sufuria uko chini na sufuria ya wali iko wazi , ndio mama mkwe anaamua kuongea kwa upole SASA "BABA KAMA HUKUSHIBA SI UNGESEMA "?
 
Umeenda kusalimia ukweni, ilipofika usiku ukapewa mahali pa kulala

Usiku wa manane ukabanwa na haja ukaamua uende uani, njia ya kwenda uani inapita jikoni, kama ujuavyo vyoo vyetu vya nje

Katika kuhangaika kupapasa mlango ukaparamia vyombo vikaanguka chini (HILI SIO TATIZO)

TATIZO NI HILI
Ukiwa kwenye harakati ya kuvipanga vyombo ghafla taa inawashwa na unakutana uso kwa uso na mama mkwe (HILI NI TATIZO ILA SIO KUBWA)

TATIZO KUBWA NI HILI
Mama mkwe anakuona umeshika mwiko na sahani, mfuniko wa sufuria uko chini na sufuria ya wali iko wazi , ndio mama mkwe anaamua kuongea kwa upole SASA "BABA KAMA HUKUSHIBA SI UNGESEMA "?
hadidhi yako yatufundisha nini?
 
Hiyo hutokea sana tu, shida wala hata siyo punyeto japo inaweza kuchangia, ni saikolojia ( matarajio vs uhalisia).

Ukitumia muda mwingi kwamba kesho yake utafanya Nini wakati wa tendo, utafanya kwa mtindo upi ( na mawazo mengineyo). Basi siku hiyo ikifika halafu element moja ya fikra za isipoenda sawa basi utafeli.
Mfano uliweka picha kichwani namna utamvua Nguo...n.k. halafu unakuta demu yeye ndo anaanza kuvua Nguo na kupanda kitandani huku anachat au anakunywa MO Xtra.

Ulitarajia mambo Fulani ukakutana na masharti kama ".. sipendi kunyonywa matiti.."

Uume hutegemea zaidi control kutoka kichwani.

Stay calm! Jiamini, next time epuka kukamia.
 
Hiyo hutokea sana tu, shida wala hata siyo punyeto japo inaweza kuchangia, ni saikolojia ( matarajio vs uhalisia).

Ukitumia muda mwingi kwamba kesho yake utafanya Nini wakati wa tendo, utafanya kwa mtindo upi ( na mawazo mengineyo). Basi siku hiyo ikifika halafu element moja ya fikra za isipoenda sawa basi utafeli.
Mfano uliweka picha kichwani namna utamvua Nguo...n.k. halafu unakuta demu yeye ndo anaanza kuvua Nguo na kupanda kitandani huku anachat au anakunywa MO Xtra.

Ulitarajia mambo Fulani ukakutana na masharti kama ".. sipendi kunyonywa matiti.."

Uume hutegemea zaidi control kutoka kichwani.

Stay calm! Jiamini, next time epuka kukamia.
kwa kweli!
 
Iliwahi kunikuta mdada wa watu kaja amejipanga pika msosi kula kokota bed, wakati wote mnara upo wima kufika bed mwalimu wa watu kuvua pichu tu mnara ukarudi 0G na mambo yakaishia hapo

Hii hali ikikutokea, unachotakiwa kufanya ni ku relax.

Usi panick. Tuliza akili, kama uko kitandani unaweza kuamka, ukaenda bafuni ukanawa uso vizuri, ukarudi ukakaa kwanza kwenye kochi/kiti. Chukua chupa ya maji au kinywaji kingine kunywa kidogo, shika simu cheki cheki vitu/msg/jf nk. Washa tv angalia angalia.. Ondoa mawazo kwenye hicho kilichotokea.

Jipe muda hata nusu saa mpaka lisaa wa ku clear akili yako. Uzoefu wangu ni kwamba mara zote nilipofanya hivyo, nikija kuanza upya mambo yanakua bam bam.

Kosa ambalo wengi hua tunafanya hiyo hali inapotokea ni kuanza ku panick, kupambana kuiamsha, kuilazimisha iingie hivyo hivyo, kukasirika, kuanza kuogopa, kujisikia vibaya nk vitu ambavyo hupelekea ndio isisimame kabisaaaa mazima!
 
Amna mwamba unaandaa upya chakula mpaka mnara usome ikikataa mnawatch tu movie siku iishe
Uko vizuri 👏

Tatizo la wanawake wengi pia, mkimpa mtu gemu siku ya kwanza akashindwa, hua mnamchukulia kwamba "hamna kitu". Huez jua mtu siku hiyo kaamkaje, ana mawazo gani, afya yake ikoje, ana stress za kazini nk.

Na wanaume tukipewa gemu hasa mara ya kwanza hatunaga kawaida ya kukataa hata niwe mgonjwa hospitali ntatoka na drip yangu hivyo hivyo 😄
 
POle sana mkuu, hali hii binafsi haijawahi kunitokea. Ila wengi wao wanakua wameathirika na punyeto promax.
Kikubwa ni hisia zinaisha wakati wa maandalizi, Je kama uliweza kumuandaa vizuri basi iweje dushelele lipoteze uelekeo? Maana mwanaume unavyo muandaa mwanamke basi na wewe ndio una noa kisu chako on the way.
Binti Sayuni03 njoo uone aibu nyingine huku.
Anastasia21 hivi ulinifanyia nini mara ya mwisho?
Anastasia21 Kumbe kuna mambo unafanya
 
Iliwahi kunikuta Kuna demu flani alikua mfanyakazi mwenzangu na ex wa mchizi wangu ambaye alikua kahama kampuni so ni kama alinirithisha.

Sikuhiyo tumepiga chupa kadhaa za alcohol then tukaenda lodge...

Tumefika pale nimeagiza nyama choma, chips na maji.. tuakaanza romance nilikua na nyege kinoma mtoto akasaula nguo zote mamaeeee kajazia kinoma na alivokua mweupe nikaona huyu mbona namchelewesha...

Nikasaula na Mimi chapu chapu Ile unavua jinzi na boxer kwa Pamoja shwaaaaa.... Wote tukawa kama tulivozaliwa mwili umechemka kinoma.

Sasa ile nimelaza kifo cha mende nimeshaipaka mate iteleze kama nyoka pangoni akanivuta mi ndo nikawa chini yeye juu basi akaanza kuhangaika na banana full kuinyonya kama pipi kijiti mamaeeee nilikua nasikia Raha ya ajabu kama anaing'ata hivi alafu anaisokomeza kwenda kooni huku ananibinya map*mbu huku anarudisha Rasta zake nyuma zilizokua zinajaribu kuleta ukinzani aloo wooooi...

Alipotosheka nikamlaza chapuchapu na kulenga tundu.. sasa nikakumbuka kitu jamaa yangu aliniambia huyu demu hua anagawa sana Kuna siku waliwahi kumpiga 3some dah ni kama nilipigwa shoti si mnara ukaanza kupoteza network hadi mtalimbo ukalala dolo ghafla toka kua mkuki hadi dodoki...

Asikuambie mtu yule demu alinimaindi sana hadi pombe zikakata alivaa chapu na kusepa... Nikabaki na Mawazo na mi pia hata chips na nyama choma zangu nilizitelekeza pale lodge nikatoka nje nikapanda boda huyo nikaasha...

Alinichukia sana [emoji1787] ila tulikuja kuyajenga ndo nikaenda kupiga ila hii siku Ili kuepuka noma nilienda na kondomu...

Mwisho
 
Iliwahi kunitokea pisi ilikua ya kwenda, kijasho kilinitoka mpaka nae akashituka chezea sana ile kutaka kuzamisha tu holaaa.

Akaniuliza nikasingizia nikiwa na UTi sugu hiyo hali hua inatokea,akanambia piga dawa tutaonana tena, na huo ndiyo ukawa mwisho wetu simu hakupokea wala sms kujibu.
 
Back
Top Bottom