Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,950
- 14,431
Wakuu,
Kuna muda nilitokea kumpenda mtoto mrembo sana, nikamtongoza akajaa mazima.
Siku ikapangwa kuwa tukutane wapi na sa ngapi! Mtoto akaitikia wito akajaa magetoni.
Wakuu omba yasikukute,nikafanya purukushani zote, kumuandaa na vitu vyote vya kitandani unavyovijua, lahaula ile nataka kuzama si mtalimbo ukasinyaa.
Akili ikaruka, demu ananiambia niingize lakini waaapi nikaanza kutafta visababu vingi mala nimechoka, mala naumwa.
Kuanzia siku hiyo mdada huyo huwa namlia kwa macho hataki tena kunitunuku tunda.
Wakuu hali hii iliwahi kukutokea? ilikuwaje?
Kuna muda nilitokea kumpenda mtoto mrembo sana, nikamtongoza akajaa mazima.
Siku ikapangwa kuwa tukutane wapi na sa ngapi! Mtoto akaitikia wito akajaa magetoni.
Wakuu omba yasikukute,nikafanya purukushani zote, kumuandaa na vitu vyote vya kitandani unavyovijua, lahaula ile nataka kuzama si mtalimbo ukasinyaa.
Akili ikaruka, demu ananiambia niingize lakini waaapi nikaanza kutafta visababu vingi mala nimechoka, mala naumwa.
Kuanzia siku hiyo mdada huyo huwa namlia kwa macho hataki tena kunitunuku tunda.
Wakuu hali hii iliwahi kukutokea? ilikuwaje?