Ushawahi kupitia haya maisha

Ushawahi kupitia haya maisha

Pacha kumbe na wewe umepitia hii mambo?
Nakumbuka tukiwa shule; unabeba karatasi zako kadhaa unazipekecha zinakuwa laiiini kama TP.
Na kuingia chooni shurti uvue nguo zote ili zisibebe ile pafyumu ya chooni, Halafu eti huwa inatokea namiss kabisa zile moments 😵
Hahahaaa pacha hujatulia kabisa wewe....mara mojamoja uwe nunafanya sasa kukumbushia
 
Mchizi anaanza kuvilia nguo nje nadhani gogo litakua lishapiga hodi kwenye boxer haha
 
Mkuu majani unachambiaje kwa mfano.... bora mabunzi ya mahindi huko nilipitia hahahahhaaaa
 
ohooo unanikumbusha milango 6 milambo tabora miaka ileee6 sijui mh. Lowasa aliitumia naambiwa alipita shule ya sekondari milambo ikiitwa 'wanaumee' !!
 
Kwani kuna tofauti gani kwa anaye tumia toilet paper na huyu wa majani @mshanaJr
wamasai guitar na rungu, makabila mengine husugua ardhini, wengine na mchanga, wengine na majani, waarabu maji, wadhungu karatasi...wew je ?
 
miaka ya 80 hiyo ndala huna pekupeku unazamia kwenda kukata gogo kiroho safi kabsa
 
Hakuna cha majani wala gunzi, ukimaliza kukata gogo unaburuza chini kwenye udongo mkavu
 
519ab984fcd38cabb9e5e722bb5e22e4.jpg
Jani best ni mshunshu na kitatelante basi kama kuna wanafunzi basi karatasi za mtihani.
 
Back
Top Bottom