Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
Haaaaaaaaaaa lugha imepanuka kweli.
matumizi ya lugha bado ni shida east afrika
Haaaaaaaaaaa lugha imepanuka kweli.
mbona handsome,kumbe sio riziki.du aya makubwa nilikuwa sijui.ndio maana yupo karibu na wema
[emoji849]duuhI know this dude nilikua nae iringa alifukuzwa pale tosa kwa kutangazwa assemble na mkuu wa shule maana alikamatwa anafanywa mchezo mbaya na mwenzie sasa wanavyo mpaisha paisha sijui wanatangaza vitu gani unless awe aliacha ule mchezo mchafu.
Vingenevyo si balozi mzuri kutajwa tajwa kwenye nyimbo