Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 955
- 1,314
Salute wakuu,
As per title hapo juu, Ulishawahi kuachwa na ndege ugenini? Ilikuaje na Ulifanyaje? Let’s share experience.
Back in 2014 nikiwa chuo mwaka wa pili nchini Oman kwa His Excellency late Sultan Qaboos bin Said (May his soul R.I.P) ndipo niliweka plan za kwenda kumtembelea rafiki yangu mmoja aliekua akisoma Bangalore nchini India.
MIPANGO YA SAFARI
Niliaanza kuplan my trip, kwanza Nikampigia simu swaiba kama ataweza kuni-accomodate for two weeks at his place, As u know accommodations ndio big issue kama hauna mpunga wa kutosha kufikia hotelini huko ng’ambo.
Baada ya kuweka mambo sawa na mshikaji nikaanza mchakato wa kutafuta visa.
Nikatembelea Agency ya India nchini Oman wanaohusika na utoaji wa visa. Nakumbuka ilinigharimu kiasi cha 20 OMR ambazo kwa kipindi hicho zilikua almost sawa na Tsh 97,000/= plus 5 OMR processing fee. Ndani ya siku 7 nikawa nimefanikiwa kupata 3 months visitation visa.
Baada ya kupata visa nikaanza kutafuta the cheapest flight to Bangolore India. Mind u that I was student so nilikua na save from my monthly allowance nilizokuwa nalipwa College kwa ajili ya kujikimu.
Katika kutafuta tafuta huko online nikakutana na Air India ambayo ndio ilikua nafuu kwa wakati huo na ilinigharimu 133 OMR for a round trip.
Baada ya kumaliza ku-book tiketi yangu na kuilipia nikaprint na kuihifadhi na kusubiri siku ya safari ambayo ilikua 01/02/2014.
SIKU YA SAFARI
Hatimaye siku ya safari ikawadia safari ilikua imepangwa kuwa ni saa tano kamili usiku. Mapema kabisa nika-show up Muscat IA two hrs earlier before departure for check in.
Baada ya kufanya taratibu zote za ukaguzi pale Airport tukaingia ndani kusubiri ndege yetu itakayotupeleka mpaka Chennai, India ambapo tungekuwa na two hours za kusubiri na kubadilisha ndege nyingine ambayo ingetufikisha hadi Bangalore.
Kwa bahati mbaya ile ndege ikachelewa kwa zaidi ya saa na nusu kufika pale Muscat IA. Hapa sasa ndipo shida ilipoanzia. Nakumbuka tulianza safari saa 6 na dk 43 usiku badala ya saa 5 kamili usiku.
Wakati tupo angani Air hostess wakawa wanagawa “Incoming Passanger card” au “Arrival card” kwa abiria ambao ni wageni kwa ajili ya kupunguza traffic tutakapofika.
Basi nikajaza ile card isipokua sehemu ya Anuani wapi exactly naenda huko Bangalore. Yani I took it easy as if kama tunapokua kwetu Bongo ukisema naenda TEMEKE bila kusem ni wapi TEMEKE. Mbaya zaidi hata hizo anuani za rafiki yangu sikuwa nazo kwa wakati huo. (Ieleweka hapa anuani namaanisha Mji, eneo ninaloenda ndani ya mji huo na namba ya nyumba anayoishi mwenyeji wangu)
CHENNAI AIRPORT
Tulipofika Chennai ilikua saa 9 na nusu Alfajiri na ilibaki nusu saa tuu ya kuingia kwenye ndege yangu ya pili ambayo ilikua inaelekea Bangalore.
Niliposhuka nikamkabidhi Afisa mmojawapo ile kadi yangu niliyoijaza. Alipo ikagua akakuta sehemu ya anuani sijajaza. Hapo balaa likaanza.
Akaanza kuniuliza naelekea wapi namwambia Bangalore; Anaanza kuniambia Bangalore ni kubwa wapi exactly unapoenda aisee sipajui, ikabidi aombe passport yangu kucheki kama nimetimia au nimekuja kimagumashi.
Akakagua akakuta nipo sawa, akaanza kunidai address halafu mimi siijui. Akanionesha sehemu ya kupigia simu akaniambia nimpigie rafiki yangu anitumie address alipo.
Kumbuka hapo ni usiku na jamaa anategemea kuja kunipokea saa tatu asubuhi Airport. Aisee nilipiga simu jamaa hapokei alikua amelala. Ikabidi yule Afisa aje kunichukuA akanipeleka kwenye ofisi ya Uhamiaji kwa Boss wao.
Wakati tunaelekea Ofisi za Uhamiaji Mara ghafla nasikia natangazwa kwenye vipaza sauti pale Airport nanukuu;
“Passenger Mr. XXX booked on a flight xxxx to Bangalore please proceed to the gate no 5 immediately for boarding”
Niliitwa pale mara tatu.
Thanks God my panic button huwa iko mbali nikawa nimetulia tu namfuata jamaa mdogo mdogo huku napanga na kupangua kichwani.
Basi tukafika kwa Afisa mkuu pale akaniambia wanachoweza kunisaidia ni kunipa simu ya bure kuwasiliana na huyo rafiki yangu ikishindikana ni kunirudisha nilipotoka.
Ikabidi nitulie kidogo kwanza then nikatumia simu yangu nikampigia jamaa finally after 5 attempts akapokea.
Jamaa akanitumia zile details nikarudi kule migration nikajaza details nikagongewa stamp ya kuingia.
Wakati narudi kule migration kumalizia kujaza zile taarifa Nikamkutana Afisa mwingine kaja kunitafuta kule migration baada ya kuachwa na flight.
Akaanza kunihoji na yeye Basi ikabidi nianze kudefense pale kwamba haikua kosa langu ila flight ilichelewa kufika na kutoka Muscat.
Thanks God nikaeleweka wakanipeleka kuchukua mabegi yangu (Hayakupakiwa kwenye ile flight iliyoniacha) Wakanipeleka kwenye upande wa domestic flight wakanikatia tiketi ya Jet to Bangalore.
Finally nikaingia Bangalore saa 6 mchana badala ya tatu asubuhi.
NB. Inaweza kuwa ni ndefu lakini unaweza kujifunza kitu.
As per title hapo juu, Ulishawahi kuachwa na ndege ugenini? Ilikuaje na Ulifanyaje? Let’s share experience.
Back in 2014 nikiwa chuo mwaka wa pili nchini Oman kwa His Excellency late Sultan Qaboos bin Said (May his soul R.I.P) ndipo niliweka plan za kwenda kumtembelea rafiki yangu mmoja aliekua akisoma Bangalore nchini India.
MIPANGO YA SAFARI
Niliaanza kuplan my trip, kwanza Nikampigia simu swaiba kama ataweza kuni-accomodate for two weeks at his place, As u know accommodations ndio big issue kama hauna mpunga wa kutosha kufikia hotelini huko ng’ambo.
Baada ya kuweka mambo sawa na mshikaji nikaanza mchakato wa kutafuta visa.
Nikatembelea Agency ya India nchini Oman wanaohusika na utoaji wa visa. Nakumbuka ilinigharimu kiasi cha 20 OMR ambazo kwa kipindi hicho zilikua almost sawa na Tsh 97,000/= plus 5 OMR processing fee. Ndani ya siku 7 nikawa nimefanikiwa kupata 3 months visitation visa.
Baada ya kupata visa nikaanza kutafuta the cheapest flight to Bangolore India. Mind u that I was student so nilikua na save from my monthly allowance nilizokuwa nalipwa College kwa ajili ya kujikimu.
Katika kutafuta tafuta huko online nikakutana na Air India ambayo ndio ilikua nafuu kwa wakati huo na ilinigharimu 133 OMR for a round trip.
Baada ya kumaliza ku-book tiketi yangu na kuilipia nikaprint na kuihifadhi na kusubiri siku ya safari ambayo ilikua 01/02/2014.
SIKU YA SAFARI
Hatimaye siku ya safari ikawadia safari ilikua imepangwa kuwa ni saa tano kamili usiku. Mapema kabisa nika-show up Muscat IA two hrs earlier before departure for check in.
Baada ya kufanya taratibu zote za ukaguzi pale Airport tukaingia ndani kusubiri ndege yetu itakayotupeleka mpaka Chennai, India ambapo tungekuwa na two hours za kusubiri na kubadilisha ndege nyingine ambayo ingetufikisha hadi Bangalore.
Kwa bahati mbaya ile ndege ikachelewa kwa zaidi ya saa na nusu kufika pale Muscat IA. Hapa sasa ndipo shida ilipoanzia. Nakumbuka tulianza safari saa 6 na dk 43 usiku badala ya saa 5 kamili usiku.
Wakati tupo angani Air hostess wakawa wanagawa “Incoming Passanger card” au “Arrival card” kwa abiria ambao ni wageni kwa ajili ya kupunguza traffic tutakapofika.
Basi nikajaza ile card isipokua sehemu ya Anuani wapi exactly naenda huko Bangalore. Yani I took it easy as if kama tunapokua kwetu Bongo ukisema naenda TEMEKE bila kusem ni wapi TEMEKE. Mbaya zaidi hata hizo anuani za rafiki yangu sikuwa nazo kwa wakati huo. (Ieleweka hapa anuani namaanisha Mji, eneo ninaloenda ndani ya mji huo na namba ya nyumba anayoishi mwenyeji wangu)
CHENNAI AIRPORT
Tulipofika Chennai ilikua saa 9 na nusu Alfajiri na ilibaki nusu saa tuu ya kuingia kwenye ndege yangu ya pili ambayo ilikua inaelekea Bangalore.
Niliposhuka nikamkabidhi Afisa mmojawapo ile kadi yangu niliyoijaza. Alipo ikagua akakuta sehemu ya anuani sijajaza. Hapo balaa likaanza.
Akaanza kuniuliza naelekea wapi namwambia Bangalore; Anaanza kuniambia Bangalore ni kubwa wapi exactly unapoenda aisee sipajui, ikabidi aombe passport yangu kucheki kama nimetimia au nimekuja kimagumashi.
Akakagua akakuta nipo sawa, akaanza kunidai address halafu mimi siijui. Akanionesha sehemu ya kupigia simu akaniambia nimpigie rafiki yangu anitumie address alipo.
Kumbuka hapo ni usiku na jamaa anategemea kuja kunipokea saa tatu asubuhi Airport. Aisee nilipiga simu jamaa hapokei alikua amelala. Ikabidi yule Afisa aje kunichukuA akanipeleka kwenye ofisi ya Uhamiaji kwa Boss wao.
Wakati tunaelekea Ofisi za Uhamiaji Mara ghafla nasikia natangazwa kwenye vipaza sauti pale Airport nanukuu;
“Passenger Mr. XXX booked on a flight xxxx to Bangalore please proceed to the gate no 5 immediately for boarding”
Niliitwa pale mara tatu.
Thanks God my panic button huwa iko mbali nikawa nimetulia tu namfuata jamaa mdogo mdogo huku napanga na kupangua kichwani.
Basi tukafika kwa Afisa mkuu pale akaniambia wanachoweza kunisaidia ni kunipa simu ya bure kuwasiliana na huyo rafiki yangu ikishindikana ni kunirudisha nilipotoka.
Ikabidi nitulie kidogo kwanza then nikatumia simu yangu nikampigia jamaa finally after 5 attempts akapokea.
Jamaa akanitumia zile details nikarudi kule migration nikajaza details nikagongewa stamp ya kuingia.
Wakati narudi kule migration kumalizia kujaza zile taarifa Nikamkutana Afisa mwingine kaja kunitafuta kule migration baada ya kuachwa na flight.
Akaanza kunihoji na yeye Basi ikabidi nianze kudefense pale kwamba haikua kosa langu ila flight ilichelewa kufika na kutoka Muscat.
Thanks God nikaeleweka wakanipeleka kuchukua mabegi yangu (Hayakupakiwa kwenye ile flight iliyoniacha) Wakanipeleka kwenye upande wa domestic flight wakanikatia tiketi ya Jet to Bangalore.
Finally nikaingia Bangalore saa 6 mchana badala ya tatu asubuhi.
NB. Inaweza kuwa ni ndefu lakini unaweza kujifunza kitu.

🤣🤣.