Ushawahi kuachwa na ndege ugenini?

Ushawahi kuachwa na ndege ugenini?

Mr Antidote

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
955
Reaction score
1,314
Salute wakuu,

As per title hapo juu, Ulishawahi kuachwa na ndege ugenini? Ilikuaje na Ulifanyaje? Let’s share experience.

Back in 2014 nikiwa chuo mwaka wa pili nchini Oman kwa His Excellency late Sultan Qaboos bin Said (May his soul R.I.P) ndipo niliweka plan za kwenda kumtembelea rafiki yangu mmoja aliekua akisoma Bangalore nchini India.

MIPANGO YA SAFARI
Niliaanza kuplan my trip, kwanza Nikampigia simu swaiba kama ataweza kuni-accomodate for two weeks at his place, As u know accommodations ndio big issue kama hauna mpunga wa kutosha kufikia hotelini huko ng’ambo.

Baada ya kuweka mambo sawa na mshikaji nikaanza mchakato wa kutafuta visa.

Nikatembelea Agency ya India nchini Oman wanaohusika na utoaji wa visa. Nakumbuka ilinigharimu kiasi cha 20 OMR ambazo kwa kipindi hicho zilikua almost sawa na Tsh 97,000/= plus 5 OMR processing fee. Ndani ya siku 7 nikawa nimefanikiwa kupata 3 months visitation visa.

Baada ya kupata visa nikaanza kutafuta the cheapest flight to Bangolore India. Mind u that I was student so nilikua na save from my monthly allowance nilizokuwa nalipwa College kwa ajili ya kujikimu.

Katika kutafuta tafuta huko online nikakutana na Air India ambayo ndio ilikua nafuu kwa wakati huo na ilinigharimu 133 OMR for a round trip.

Baada ya kumaliza ku-book tiketi yangu na kuilipia nikaprint na kuihifadhi na kusubiri siku ya safari ambayo ilikua 01/02/2014.

SIKU YA SAFARI
Hatimaye siku ya safari ikawadia safari ilikua imepangwa kuwa ni saa tano kamili usiku. Mapema kabisa nika-show up Muscat IA two hrs earlier before departure for check in.

Baada ya kufanya taratibu zote za ukaguzi pale Airport tukaingia ndani kusubiri ndege yetu itakayotupeleka mpaka Chennai, India ambapo tungekuwa na two hours za kusubiri na kubadilisha ndege nyingine ambayo ingetufikisha hadi Bangalore.

Kwa bahati mbaya ile ndege ikachelewa kwa zaidi ya saa na nusu kufika pale Muscat IA. Hapa sasa ndipo shida ilipoanzia. Nakumbuka tulianza safari saa 6 na dk 43 usiku badala ya saa 5 kamili usiku.

Wakati tupo angani Air hostess wakawa wanagawa “Incoming Passanger card” au “Arrival card” kwa abiria ambao ni wageni kwa ajili ya kupunguza traffic tutakapofika.

Basi nikajaza ile card isipokua sehemu ya Anuani wapi exactly naenda huko Bangalore. Yani I took it easy as if kama tunapokua kwetu Bongo ukisema naenda TEMEKE bila kusem ni wapi TEMEKE. Mbaya zaidi hata hizo anuani za rafiki yangu sikuwa nazo kwa wakati huo. (Ieleweka hapa anuani namaanisha Mji, eneo ninaloenda ndani ya mji huo na namba ya nyumba anayoishi mwenyeji wangu)

CHENNAI AIRPORT
Tulipofika Chennai ilikua saa 9 na nusu Alfajiri na ilibaki nusu saa tuu ya kuingia kwenye ndege yangu ya pili ambayo ilikua inaelekea Bangalore.

Niliposhuka nikamkabidhi Afisa mmojawapo ile kadi yangu niliyoijaza. Alipo ikagua akakuta sehemu ya anuani sijajaza. Hapo balaa likaanza.

Akaanza kuniuliza naelekea wapi namwambia Bangalore; Anaanza kuniambia Bangalore ni kubwa wapi exactly unapoenda aisee sipajui, ikabidi aombe passport yangu kucheki kama nimetimia au nimekuja kimagumashi.
Akakagua akakuta nipo sawa, akaanza kunidai address halafu mimi siijui. Akanionesha sehemu ya kupigia simu akaniambia nimpigie rafiki yangu anitumie address alipo.

Kumbuka hapo ni usiku na jamaa anategemea kuja kunipokea saa tatu asubuhi Airport. Aisee nilipiga simu jamaa hapokei alikua amelala. Ikabidi yule Afisa aje kunichukuA akanipeleka kwenye ofisi ya Uhamiaji kwa Boss wao.

Wakati tunaelekea Ofisi za Uhamiaji Mara ghafla nasikia natangazwa kwenye vipaza sauti pale Airport nanukuu;

“Passenger Mr. XXX booked on a flight xxxx to Bangalore please proceed to the gate no 5 immediately for boarding”

Niliitwa pale mara tatu.
Thanks God my panic button huwa iko mbali nikawa nimetulia tu namfuata jamaa mdogo mdogo huku napanga na kupangua kichwani.

Basi tukafika kwa Afisa mkuu pale akaniambia wanachoweza kunisaidia ni kunipa simu ya bure kuwasiliana na huyo rafiki yangu ikishindikana ni kunirudisha nilipotoka.

Ikabidi nitulie kidogo kwanza then nikatumia simu yangu nikampigia jamaa finally after 5 attempts akapokea.

Jamaa akanitumia zile details nikarudi kule migration nikajaza details nikagongewa stamp ya kuingia.

Wakati narudi kule migration kumalizia kujaza zile taarifa Nikamkutana Afisa mwingine kaja kunitafuta kule migration baada ya kuachwa na flight.

Akaanza kunihoji na yeye Basi ikabidi nianze kudefense pale kwamba haikua kosa langu ila flight ilichelewa kufika na kutoka Muscat.

Thanks God nikaeleweka wakanipeleka kuchukua mabegi yangu (Hayakupakiwa kwenye ile flight iliyoniacha) Wakanipeleka kwenye upande wa domestic flight wakanikatia tiketi ya Jet to Bangalore.

Finally nikaingia Bangalore saa 6 mchana badala ya tatu asubuhi.

NB. Inaweza kuwa ni ndefu lakini unaweza kujifunza kitu.
 
Kwa hiyo ambao hatujawahi kupanda ndege uzi huu mrefu hautuhusu? Na ukiwa huko juu kwenye ndege mawingu unayaona kabisa laivu au inakuwaje? Ndege huwa inatikisika au ni kimya tu kama umekaa kwenye kochi homu? Samahani kwa maswali mengi mkuu
 
Mimi sikuachwa na ndege ugenini, bali hapahapa Bongo!

ilikua mwaka 2017 nimepata safari kwenda Germany! tiketi yangu ilikua inaonesha ndege inaondoka saa kumi jioni! (QATAR AIRWAYS). Kutokana na ushamba wangu enzi hizo sikujua kuwa natakiwa kuangalia mara kwa mara my flight schedule ili kama kuna changes za muda niweze kuona.

Kumbe bwana ndege ilibadilisha muda few days kabla ya safari, badala ya saa 10 jioni, ikabadilishwa saa saba mchana, me sikujua hilo.

Basi siku hio nmejipanga safi kwa safari, saa saba kamili niko airport, nafika reception ya qatar nakuta hamna mtu bas nkajitutumua nikadhani me ndio nimewahi wa kwanza kufika🤣🤣.

nikafika kwa ajili ya kufanya check -in! Wakaniuliza unaelekea wapi, nikasema angalieni ticket naelekea Munich - Germany! Shabaaaash wakasema mbona ndege yako ndio inaondoka saa hizi gate wamefunga dakika chache zilizopita! Damn it nliishiwa nguvu! ntaambia nini watu na nlishaaga🤣🤣

Basi wakasema huo uzembe wangu nilipe fine usd 50 wafanye booking ticket ya kesho. Nikasema huo ni izembe wenu kama mli change muda mlipaswa kutoa taarifa kwa wateja wenu, kama mnachukua email na namba zetu na hamtupatii taarifa za changes je nini maana ya customer service?. Tukabishana mpaka akaja boss wao bas wakakubali makosa ni yetu mimi nna kosa kutoangalia my flight na wao wana makosa kutotoa taarifa.

bas wakasema watanipa free accomodation wana schedule ndege ya kesho! basi tukaondoka wakanipeleka serena hotel.. sikuamini macho yangu kwa mara ya kwanza nililala serena hotel sehemu ambayo sikuwahi kuwaza hata katika ndoto.

basi kesho yake wakaja kunichukua saa saba mchana na nikaondoka saa 10 tukapaa mpaka Doha then nika change flight to Munich - Germany. Nikafika saa 12 alfajiri.
 
Mimi nilikuwa na Safari ya kushuka bondeni kwa madiba.

Hiyo ticket ilikatwa na mtu Mwingine wa kampuni Fulani tulikuwa tunakwenda kusaidiana kazi ya hiyo kampuni yao nikatumiwa tu soft copy ya ticket ,ndege ilikuwa iondoke saa sita na nusu ALFAJIRI nikakutana na huyo ninaesafiri naye siku moja kabla ya Safari akanisisitiza safari ni saa Sita na nusu KESHO, sikutilia maanani kwamba ni kesho ALFAJIRI Au MCHANA na sikuhangaika kuangalia muda kwenye Ticket
emoji3.png
nikajua tu ni KESHO saa 6 na nusu Mchana

Nikalala kuja kuamka kesho asbh saa 12 ili nianze jiandaa kwa Safari ya saa sita na nusu mchana kumbe huo muda Ndege ishafika inakokwenda
emoji3.png
nakutana na missed call Zaidi ya 70 za jamaa ninayesafiri naye na meseji kibao, nikapagawa muda huohuo nikakurupuka nikadaka bodaboda mpaka airport
Mambo yaliisha ila nilitoboa mfuko kweli kweli
Ilinifunza kuwa makini siku zingine
 
St. Louis to Dallas, Texas.

Nilikuwa natoka St. Louis kuja bongo kupitia Dubai kwa kutumia Emirates. Nikamuonyesha jamaa wa Emirates Nyago langu akawa kama ananisuspect akaniitia uhamiaji.

Baada ya nusu saa tukamalizana, nikachelewa flight ya Dallas. Manager wa Emirates akaniomba msamaha akanipa upgrade ya Bussiness class toka Dallas mpaka Dubai. kukaa tu kwenye siti, nikaletewa Champagne na macadamia nuts. Nikatoa tip kwa air hostess akniambia "I'm not a stripper" huku akitabasamu. Nikajiona hovyo.

Siti ya pembeni alikuwepo RProf. Lwaitama na upande wa dirisha lingine (across the aisle) alikuwepo Raza mbunge wa Zanzibar,mbunge wa Zanzibar. Akampasia barua yake (copy) kwenda kwa katibu mkuu wa CCM (Kinana). Sitasema ilikuwa inahusu wala alichosema Prof. Lwaitama.
Mpaka leo huwa napiga Story na Prof. Lwaitama (kama urafiki fulani kwenye texts).
kwa kweli ile safari niliifurahia.
 
Kwa hiyo ambao hatujawahi kupanda ndege uzi huu mrefu hautuhusu? Na ukiwa huko juu kwenye ndege mawingu unayaona kabisa laivu au inakuwaje? Ndege huwa inatikisika au ni kimya tu kama umekaa kwenye kochi homu? Samahani kwa maswali mengi mkuu
Hahaha nenda kwenye uzi wa "Waliowahi kuachwa na bus" upo humuhumu.😂😂😂
 
Salute wakuu,

As per title hapo juu, Ulishawahi kuachwa na ndege ugenini? Ilikuaje na Ulifanyaje? Let’s share experience.

Back in 2014 nikiwa chuo mwaka wa pili nchini Oman kwa His Excellency late Sultan Qaboos bin Said (May his soul R.I.P) ndipo niliweka plan za kwenda kumtembelea rafiki yangu mmoja aliekua akisoma Bangalore nchini India.

MIPANGO YA SAFARI
Niliaanza kuplan my trip, kwanza Nikampigia simu swaiba kama ataweza kuni-accomodate for two weeks at his place, As u know accommodations ndio big issue kama hauna mpunga wa kutosha kufikia hotelini huko ng’ambo.

Baada ya kuweka mambo sawa na mshikaji nikaanza mchakato wa kutafuta visa.

Nikatembelea Agency ya India nchini Oman wanaohusika na utoaji wa visa. Nakumbuka ilinigharimu kiasi cha 20 OMR ambazo kwa kipindi hicho zilikua almost sawa na Tsh 97,000/= plus 5 OMR processing fee. Ndani ya siku 7 nikawa nimefanikiwa kupata 3 months visitation visa.

Baada ya kupata visa nikaanza kutafuta the cheapest flight to Bangolore India. Mind u that I was student so nilikua na save from my monthly allowance nilizokuwa nalipwa College kwa ajili ya kujikimu.

Katika kutafuta tafuta huko online nikakutana na Air India ambayo ndio ilikua nafuu kwa wakati huo na ilinigharimu 133 OMR for a round trip.

Baada ya kumaliza ku-book tiketi yangu na kuilipia nikaprint na kuihifadhi na kusubiri siku ya safari ambayo ilikua 01/02/2014.

SIKU YA SAFARI
Hatimaye siku ya safari ikawadia safari ilikua imepangwa kuwa ni saa tano kamili usiku. Mapema kabisa nika-show up Muscat IA two hrs earlier before departure for check in.

Baada ya kufanya taratibu zote za ukaguzi pale Airport tukaingia ndani kusubiri ndege yetu itakayotupeleka mpaka Chennai, India ambapo tungekuwa na two hours za kusubiri na kubadilisha ndege nyingine ambayo ingetufikisha hadi Bangalore.

Kwa bahati mbaya ile ndege ikachelewa kwa zaidi ya saa na nusu kufika pale Muscat IA. Hapa sasa ndipo shida ilipoanzia. Nakumbuka tulianza safari saa 6 na dk 43 usiku badala ya saa 5 kamili usiku.

Wakati tupo angani Air hostess wakawa wanagawa “Incoming Passanger card” au “Arrival card” kwa abiria ambao ni wageni kwa ajili ya kupunguza traffic tutakapofika.

Basi nikajaza ile card isipokua sehemu ya Anuani wapi exactly naenda huko Bangalore. Yani I took it easy as if kama tunapokua kwetu Bongo ukisema naenda TEMEKE bila kusem ni wapi TEMEKE. Mbaya zaidi hata hizo anuani za rafiki yangu sikuwa nazo kwa wakati huo. (Ieleweka hapa anuani namaanisha Mji, eneo ninaloenda ndani ya mji huo na namba ya nyumba anayoishi mwenyeji wangu)

CHENNAI AIRPORT
Tulipofika Chennai ilikua saa 9 na nusu Alfajiri na ilibaki nusu saa tuu ya kuingia kwenye ndege yangu ya pili ambayo ilikua inaelekea Bangalore.

Niliposhuka nikamkabidhi Afisa mmojawapo ile kadi yangu niliyoijaza. Alipo ikagua akakuta sehemu ya anuani sijajaza. Hapo balaa likaanza.

Akaanza kuniuliza naelekea wapi namwambia Bangalore; Anaanza kuniambia Bangalore ni kubwa wapi exactly unapoenda aisee sipajui, ikabidi aombe passport yangu kucheki kama nimetimia au nimekuja kimagumashi.
Akakagua akakuta nipo sawa, akaanza kunidai address halafu mimi siijui. Akanionesha sehemu ya kupigia simu akaniambia nimpigie rafiki yangu anitumie address alipo.

Kumbuka hapo ni usiku na jamaa anategemea kuja kunipokea saa tatu asubuhi Airport. Aisee nilipiga simu jamaa hapokei alikua amelala. Ikabidi yule Afisa aje kunichukuA akanipeleka kwenye ofisi ya Uhamiaji kwa Boss wao.

Wakati tunaelekea Ofisi za Uhamiaji Mara ghafla nasikia natangazwa kwenye vipaza sauti pale Airport nanukuu;

“Passenger Mr. XXX booked on a flight xxxx to Bangalore please proceed to the gate no 5 immediately for boarding”

Niliitwa pale mara tatu.
Thanks God my panic button huwa iko mbali nikawa nimetulia tu namfuata jamaa mdogo mdogo huku napanga na kupangua kichwani.

Basi tukafika kwa Afisa mkuu pale akaniambia wanachoweza kunisaidia ni kunipa simu ya bure kuwasiliana na huyo rafiki yangu ikishindikana ni kunirudisha nilipotoka.

Ikabidi nitulie kidogo kwanza then nikatumia simu yangu nikampigia jamaa finally after 5 attempts akapokea.

Jamaa akanitumia zile details nikarudi kule migration nikajaza details nikagongewa stamp ya kuingia.

Wakati narudi kule migration kumalizia kujaza zile taarifa Nikamkutana Afisa mwingine kaja kunitafuta kule migration baada ya kuachwa na flight.

Akaanza kunihoji na yeye Basi ikabidi nianze kudefense pale kwamba haikua kosa langu ila flight ilichelewa kufika na kutoka Muscat.

Thanks God nikaeleweka wakanipeleka kuchukua mabegi yangu (Hayakupakiwa kwenye ile flight iliyoniacha) Wakanipeleka kwenye upande wa domestic flight wakanikatia tiketi ya Jet to Bangalore.

Finally nikaingia Bangalore saa 6 mchana badala ya tatu asubuhi.

NB. Inaweza kuwa ni ndefu lakini unaweza kujifunza kitu.
Kuachwa na ndege iwe ugenini au nyumbani huwa ni kielelezo Cha uzembe na poor planning ability ya mtu
 
Kwa hiyo ambao hatujawahi kupanda ndege uzi huu mrefu hautuhusu? Na ukiwa huko juu kwenye ndege mawingu unayaona kabisa laivu au inakuwaje? Ndege huwa inatikisika au ni kimya tu kama umekaa kwenye kochi homu? Samahani kwa maswali mengi mkuu

Hahahaha mkuu ndege ni usafiri tu kama aina nyingine za usafiri. Inategemea na sehemu unayokwenda.

Kuhusu Mawingu yapo huko mkuu. Kutikisika inatikisika inategemea pia na hali ya hewa. Kama sio nzuri unaisikia kabisa inatikisika.
 
Mimi sikuachwa na ndege ugenini, bali hapahapa Bongo!

ilikua mwaka 2017 nimepata safari kwenda Germany! tiketi yangu ilikua inaonesha ndege inaondoka saa kumi jioni! (QATAR AIRWAYS). Kutokana na ushamba wangu enzi hizo sikujua kuwa natakiwa kuangalia mara kwa mara my flight schedule ili kama kuna changes za muda niweze kuona.

Kumbe bwana ndege ilibadilisha muda few days kabla ya safari, badala ya saa 10 jioni, ikabadilishwa saa saba mchana, me sikujua hilo.

Basi siku hio nmejipanga safi kwa safari, saa saba kamili niko airport, nafika reception ya qatar nakuta hamna mtu bas nkajitutumua nikadhani me ndio nimewahi wa kwanza kufika🤣🤣.

nikafika kwa ajili ya kufanya check -in! Wakaniuliza unaelekea wapi, nikasema angalieni ticket naelekea Munich - Germany! Shabaaaash wakasema mbona ndege yako ndio inaondoka saa hizi gate wamefunga dakika chache zilizopita! Damn it nliishiwa nguvu! ntaambia nini watu na nlishaaga🤣🤣

Basi wakasema huo uzembe wangu nilipe fine usd 50 wafanye booking ticket ya kesho. Nikasema huo ni izembe wenu kama mli change muda mlipaswa kutoa taarifa kwa wateja wenu, kama mnachukua email na namba zetu na hamtupatii taarifa za changes je nini maana ya customer service?. Tukabishana mpaka akaja boss wao bas wakakubali makosa ni yetu mimi nna kosa kutoangalia my flight na wao wana makosa kutotoa taarifa.

bas wakasema watanipa free accomodation wana schedule ndege ya kesho! basi tukaondoka wakanipeleka serena hotel.. sikuamini macho yangu kwa mara ya kwanza nililala serena hotel sehemu ambayo sikuwahi kuwaza hata katika ndoto.

basi kesho yake wakaja kunichukua saa saba mchana na nikaondoka saa 10 tukapaa mpaka Doha then nika change flight to Munich - Germany. Nikafika saa 12 alfajiri.

Pole sana mkuu na hongera pia. Ila ukisikia kufa kufaana ndio huko.
 
Mimi nilikuwa na Safari ya kushuka bondeni kwa madiba.

Hiyo ticket ilikatwa na mtu Mwingine wa kampuni Fulani tulikuwa tunakwenda kusaidiana kazi ya hiyo kampuni yao nikatumiwa tu soft copy ya ticket ,ndege ilikuwa iondoke saa sita na nusu ALFAJIRI nikakutana na huyo ninaesafiri naye siku moja kabla ya Safari akanisisitiza safari ni saa Sita na nusu KESHO, sikutilia maanani kwamba ni kesho ALFAJIRI Au MCHANA na sikuhangaika kuangalia muda kwenye Ticket
emoji3.png
nikajua tu ni KESHO saa 6 na nusu Mchana

Nikalala kuja kuamka kesho asbh saa 12 ili nianze jiandaa kwa Safari ya saa sita na nusu mchana kumbe huo muda Ndege ishafika inakokwenda
emoji3.png
nakutana na missed call Zaidi ya 70 za jamaa ninayesafiri naye na meseji kibao, nikapagawa muda huohuo nikakurupuka nikadaka bodaboda mpaka airport
Mambo yaliisha ila nilitoboa mfuko kweli kweli
Ilinifunza kuwa makini siku zingine

Pole sana mkuu. Muda wakati mwingine ni tatizo sana kwenye safari za ndege tofauti na mabus ambao timing zake zinafahamika
 
Salute wakuu,

As per title hapo juu, Ulishawahi kuachwa na ndege ugenini? Ilikuaje na Ulifanyaje? Let’s share experience.

Back in 2014 nikiwa chuo mwaka wa pili nchini Oman kwa His Excellency late Sultan Qaboos bin Said (May his soul R.I.P) ndipo niliweka plan za kwenda kumtembelea rafiki yangu mmoja aliekua akisoma Bangalore nchini India.

MIPANGO YA SAFARI
Niliaanza kuplan my trip, kwanza Nikampigia simu swaiba kama ataweza kuni-accomodate for two weeks at his place, As u know accommodations ndio big issue kama hauna mpunga wa kutosha kufikia hotelini huko ng’ambo.

Baada ya kuweka mambo sawa na mshikaji nikaanza mchakato wa kutafuta visa.

Nikatembelea Agency ya India nchini Oman wanaohusika na utoaji wa visa. Nakumbuka ilinigharimu kiasi cha 20 OMR ambazo kwa kipindi hicho zilikua almost sawa na Tsh 97,000/= plus 5 OMR processing fee. Ndani ya siku 7 nikawa nimefanikiwa kupata 3 months visitation visa.

Baada ya kupata visa nikaanza kutafuta the cheapest flight to Bangolore India. Mind u that I was student so nilikua na save from my monthly allowance nilizokuwa nalipwa College kwa ajili ya kujikimu.

Katika kutafuta tafuta huko online nikakutana na Air India ambayo ndio ilikua nafuu kwa wakati huo na ilinigharimu 133 OMR for a round trip.

Baada ya kumaliza ku-book tiketi yangu na kuilipia nikaprint na kuihifadhi na kusubiri siku ya safari ambayo ilikua 01/02/2014.

SIKU YA SAFARI
Hatimaye siku ya safari ikawadia safari ilikua imepangwa kuwa ni saa tano kamili usiku. Mapema kabisa nika-show up Muscat IA two hrs earlier before departure for check in.

Baada ya kufanya taratibu zote za ukaguzi pale Airport tukaingia ndani kusubiri ndege yetu itakayotupeleka mpaka Chennai, India ambapo tungekuwa na two hours za kusubiri na kubadilisha ndege nyingine ambayo ingetufikisha hadi Bangalore.

Kwa bahati mbaya ile ndege ikachelewa kwa zaidi ya saa na nusu kufika pale Muscat IA. Hapa sasa ndipo shida ilipoanzia. Nakumbuka tulianza safari saa 6 na dk 43 usiku badala ya saa 5 kamili usiku.

Wakati tupo angani Air hostess wakawa wanagawa “Incoming Passanger card” au “Arrival card” kwa abiria ambao ni wageni kwa ajili ya kupunguza traffic tutakapofika.

Basi nikajaza ile card isipokua sehemu ya Anuani wapi exactly naenda huko Bangalore. Yani I took it easy as if kama tunapokua kwetu Bongo ukisema naenda TEMEKE bila kusem ni wapi TEMEKE. Mbaya zaidi hata hizo anuani za rafiki yangu sikuwa nazo kwa wakati huo. (Ieleweka hapa anuani namaanisha Mji, eneo ninaloenda ndani ya mji huo na namba ya nyumba anayoishi mwenyeji wangu)

CHENNAI AIRPORT
Tulipofika Chennai ilikua saa 9 na nusu Alfajiri na ilibaki nusu saa tuu ya kuingia kwenye ndege yangu ya pili ambayo ilikua inaelekea Bangalore.

Niliposhuka nikamkabidhi Afisa mmojawapo ile kadi yangu niliyoijaza. Alipo ikagua akakuta sehemu ya anuani sijajaza. Hapo balaa likaanza.

Akaanza kuniuliza naelekea wapi namwambia Bangalore; Anaanza kuniambia Bangalore ni kubwa wapi exactly unapoenda aisee sipajui, ikabidi aombe passport yangu kucheki kama nimetimia au nimekuja kimagumashi.
Akakagua akakuta nipo sawa, akaanza kunidai address halafu mimi siijui. Akanionesha sehemu ya kupigia simu akaniambia nimpigie rafiki yangu anitumie address alipo.

Kumbuka hapo ni usiku na jamaa anategemea kuja kunipokea saa tatu asubuhi Airport. Aisee nilipiga simu jamaa hapokei alikua amelala. Ikabidi yule Afisa aje kunichukuA akanipeleka kwenye ofisi ya Uhamiaji kwa Boss wao.

Wakati tunaelekea Ofisi za Uhamiaji Mara ghafla nasikia natangazwa kwenye vipaza sauti pale Airport nanukuu;

“Passenger Mr. XXX booked on a flight xxxx to Bangalore please proceed to the gate no 5 immediately for boarding”

Niliitwa pale mara tatu.
Thanks God my panic button huwa iko mbali nikawa nimetulia tu namfuata jamaa mdogo mdogo huku napanga na kupangua kichwani.

Basi tukafika kwa Afisa mkuu pale akaniambia wanachoweza kunisaidia ni kunipa simu ya bure kuwasiliana na huyo rafiki yangu ikishindikana ni kunirudisha nilipotoka.

Ikabidi nitulie kidogo kwanza then nikatumia simu yangu nikampigia jamaa finally after 5 attempts akapokea.

Jamaa akanitumia zile details nikarudi kule migration nikajaza details nikagongewa stamp ya kuingia.

Wakati narudi kule migration kumalizia kujaza zile taarifa Nikamkutana Afisa mwingine kaja kunitafuta kule migration baada ya kuachwa na flight.

Akaanza kunihoji na yeye Basi ikabidi nianze kudefense pale kwamba haikua kosa langu ila flight ilichelewa kufika na kutoka Muscat.

Thanks God nikaeleweka wakanipeleka kuchukua mabegi yangu (Hayakupakiwa kwenye ile flight iliyoniacha) Wakanipeleka kwenye upande wa domestic flight wakanikatia tiketi ya Jet to Bangalore.

Finally nikaingia Bangalore saa 6 mchana badala ya tatu asubuhi.

NB. Inaweza kuwa ni ndefu lakini unaweza kujifunza kitu.
Dah pole sana boss, but how kwenye ndege uliruhusiwa kuwasha simu na kumtafuta jamaa au mimi kuna kitu sijaelewa

Sent from my HRY-LX1 using JamiiForums mobile app
 
St. Louis to Dallas, Texas.

Nilikuwa natoka St. Louis kuja bongo kupitia Dubai kwa kutumia Emirates. Nikamuonyesha jamaa wa Emirates Nyago langu akawa kama ananisuspect akaniitia uhamiaji.

Baada ya nusu saa tukamalizana, nikachelewa flight ya Dallas. Manager wa Emirates akaniomba msamaha akanipa upgrade ya Bussiness class toka Dallas mpaka Dubai. kukaa tu kwenye siti, nikaletewa Champagne na macadamia nuts. Nikatoa tip kwa air hostess akniambia "I'm not a stripper" huku akitabasamu. Nikajiona hovyo.

Siti ya pembeni alikuwepo RProf. Lwaitama na upande wa dirisha lingine (across the aisle) alikuwepo Raza mbunge wa Zanzibar,mbunge wa Zanzibar. Akampasia barua yake (copy) kwenda kwa katibu mkuu wa CCM (Kinana). Sitasema ilikuwa inahusu wala alichosema Prof. Lwaitama.
Mpaka leo huwa napiga Story na Prof. Lwaitama (kama urafiki fulani kwenye texts).
kwa kweli ile safari niliifurahia.
Sitasahau. Niliwahi kuachwa na ndege kwa jambo la kijinga na kutokuwa makini, nikalazimika kununua ticket nyingine. Ilikuwa hivi: Ndege inaondoka saa sita na dakika 5 usiku. Kitu ambacho nilisahau ni kuwa ikishafika saa sita na dakika 5, tayari ni siku mpya. Tiketi yangu iliandikwa depurture time ni saa sita na dakika tano, siku ya Jumanne. Kwa hiyo nilitakiwa niende Airport siku ya Jumatatu usiku. Nikafanya kosa la kusubiri ikafika Jumanne jioni saa 3, ndiyo nikaenda Airport, nikitegemea kuwa naondoka usiku huo. Kumbe ikishafika saa 6 usiku, tayari inakuwa imeingia Jumatano.
 
Sitasahau. Niliwahi kuachwa na ndege kwa jambo la kijinga na kutokuwa makini, nikalazimika kununua ticket nyingine. Ilikuwa hivi: Ndege inaondoka saa sita na dakika 5 usiku. Kitu ambacho nilisahau ni kuwa ikishafika saa sita na dakika 5, tayari ni siku mpya. Tiketi yangu iliandikwa depurture time ni saa sita na dakika tano, siku ya Jumanne. Kwa hiyo nilitakiwa niende Airport siku ya Jumatatu usiku. Nikafanya kosa la kusubiri ikafika Jumanne jioni saa 3, ndiyo nikaenda Airport, nikitegemea kuwa naondoka usiku huo. Kumbe ikishafika saa 6 usiku, tayari inakuwa imeingia Jumatano.
Haya makosa yaliwahi nigharimu pia
Nimeeleza hapo juu, Timing zikiandikwa kwa mfumo wa masaa 24 kidogo inakuwa rahisi
 
Back
Top Bottom