Nina kawaida ya kwenda perion kwa siku 4 au 5 na kila period nikifika siku ya tatu inakata nakuwa mkavu kwa siku nzima then inaanza tena kwa muda ndio inakata. je wanajf naomba kuuliza hapa nitakuwa nina tatizo la kizazi au ni kawaida?
Pole kwa unachokiwaza, hili si tatizo, ila ni maumbile uliyorithi toka kwa mzazi wako wa kikeni.
Ni hali ya kawaida isikupe wasiwasi wapo wanawake wengi wenye hali kama yako.
Pole kwa unachokiwaza, hili si tatizo, ila ni maumbile uliyorithi toka kwa mzazi wako wa kikeni.
Ni hali ya kawaida isikupe wasiwasi wapo wanawake wengi wenye hali kama yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.