MECKIAD RUYINGO
Member
- Jun 10, 2011
- 20
- 0
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ................ yeye anaumri sawa na mimi .................tayari yeye yuko kazin kwa mudaa wa miaka mitatu ...................mm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi PENGINE NITAKUWA NIMEOA AU NIMEOLEWA
sina maana kuwa mm ni bisexual sas kama yetu ndye atakua mtafutaji wa kuhudumia familia ww unafikir nitakuwa nan mm
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, natarajia kumalieza elimu ya chuo kikuu mwaka huu mwezi wa saba. ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana, ambaye yeye kwa sasa anamika 25, kwa bahati nzuri tayari yuko kazin kwa miaka mitatu, ni mwalim wa shule ya msingi. ......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ................ yeye anaumri sawa na mimi .................tayari yeye yuko kazin kwa mudaa wa miaka mitatu ...................mm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi PENGINE NITAKUWA NIMEOA AU NIMEOLEWA
... ninampenziambaye kwa kiasi fulan tunapendana..
......tatizo langu mm ni nashindwa kuwa na maamuzuzi ya kumtamkia au kudhihilisha kuwa lazima nitamuoa au hapan ....
.................tayari yeymm bado ni nawategemea wazazi ....................tena ni mwanafunzi
Kimsing ni kwamba lazima utambue ya kuwa, mwanaume ukamzidi msichana hata miaka mitatu lakin suala la kuwa na umri sawa lazima litareta utata kwan yeye atakuwa mkubwa kwako tena tayari anaudhoefu mkubwa kimaisha na hata mazingira ya kazin
Hivi unawezaje oa au olewa?
Wee ni bisexual?