nyanda madirisha
JF-Expert Member
- Apr 1, 2019
- 442
- 789
Wakuu habari zenu?
Mimi ni kijana mwenye 29 nimeoa. Sasa Nina mchepuko wangu anataka niishi naye binafsi nimeazimia kuishi naye kisiri bila wife kujua.
Je, kwa wazoefu wa mambo hizi inaweza leta shida yayote mbeleni haswa kwa wife ingawa sitamwambia na nitaweka siri hata huyo mchepuko asijue wife Yuko wapi?
Naombeni Msada na uzoefu wenu wakuu
Mimi ni kijana mwenye 29 nimeoa. Sasa Nina mchepuko wangu anataka niishi naye binafsi nimeazimia kuishi naye kisiri bila wife kujua.
Je, kwa wazoefu wa mambo hizi inaweza leta shida yayote mbeleni haswa kwa wife ingawa sitamwambia na nitaweka siri hata huyo mchepuko asijue wife Yuko wapi?
Naombeni Msada na uzoefu wenu wakuu