jitu zima hovyo kabisa. kaa na hilo libikira lako uone utafaidika na nini? mtu amejitolea kukupenda alf ww unamnyima papuch , basi ww endelelea na uzezeta wako wa kukaa na hiyo bikra yako km ngao ya taifa according to kongosho, nilimuacha mtu kisa ni km hiyo situation yako nikampata wandani wng used na sasa tumejaliwa watoto wetu wawili maisha yanasonga. yy yupo amepigika na life na aliyemuwekea hile bikra yake, yaan umenikumbusha hasira nilizozisahau muda mrefu. mxhiiiiiiiiuuuuuuuu