Ushauri wenu nina laki 5 hapa

Ushauri wenu nina laki 5 hapa

Mr SGR

Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
66
Reaction score
41
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa.

Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara?

Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa.

Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
 
Kumbe ushauri unao Halafu unatuomba.

Chukua ushauri wako wengine watakupotosha tu.
 
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa. Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara? Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa. Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
Angalia laini yenye mzunguko mkubwa apo utupie nyingi then ayo mengine yasubiri mkwanja ndugu ili usikwame

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa. Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara? Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa. Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
Kitu gani kimekupatia hio hela uliyokuwa umesevu.. ukatumia na ikabakia laki tano?
 
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa. Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara? Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa. Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
Hicho hicho kitu kilichokupatia hio hela ndio uendelee nacho. HAUTAPATA HELA YEYOTE UKIANZA KITU KIPYA. Laki tano sio mtaji wa biashara yeyote siki hizi.
 
Hicho hicho kitu kilichokupatia hio hela ndio uendelee nacho. HAUTAPATA HELA YEYOTE UKIANZA KITU KIPYA. Laki tano sio mtaji wa biashara yeyote siki hizi.
Acha uongo jamaa,unasema laki 5 sio mtaji wa biashara yeyote siku hizi ???


Watu wanafanya biashara ya viatu vya mtumba kwa laki 5
wamama wanaendesha migahawa kwa mitaji ya laki 5
wauz samak wanafanya biashara kwa mtaji wa laki 5
hata saloon vijan weng wanafungua kwa hiyo laki 5
 
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa.

Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara?

Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa.

Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
TAJA LOCATION ULIPO ILI WIKI HIIHII MIMI NIJE KUFUNGUA BIASHARA HIYOHIYO KWA MTAJI WA LAKI TATU.
 
Hicho hicho kitu kilichokupatia hio hela ndio uendelee nacho. HAUTAPATA HELA YEYOTE UKIANZA KITU KIPYA. Laki tano sio mtaji wa biashara yeyote siki hizi.
Duuuh

Njoo minadani uangalie biashara za mitaji ya laki 5

Nenda masokoni biashara nyingi mitaji yake ni laki 5

Magenge mengi ndo mtaji wake huo

Machinga wengi wameanza na mtaji wa laki 5

Laki 5 ni hela kubwa
 
Mimi ni mfanyabiashara ndogo tu ya printing& stationery services sasa juzi kati nilisajili laini za uwakala mpesa, tigo pesa, Airtel money na Halopesa.

Pesa ya kuendeshea hizo laini kwenye miamala niliitumia baada ya kupata changamoto kidogo za kifamilia. Sasa nina laki 5 mkononi najiuliza je naweza kuanza nayo hiyo kwenye biashara wakati najipanga kuingiza hela nyingi baadaye kwenye hii biashara?

Nipo eneo lenye mzunguko mzuri tu ikumbukwe laini nimezisajili miezi 3 sasa imepita naogopa kufungiwa.

Maoni yenu kwenye uzi huu ni ya muhimu sana, natanguliza shukran za dhat!
Anza na kidogo ulichonacho kisije nacho kikapata dharura nyingine
 
Kwakuwa una mradi tayari jitahidi uanze tu boss ,hiyo inatosha kabisa weka nia tu .Angalia ni mtandao upi unatumika zaidi then anza
 
Back
Top Bottom