Ushauri wenu ni muhimu kwangu

Ushauri wenu ni muhimu kwangu

Miss Mbunda

Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
36
Reaction score
14
mimi ni msichana mwenye miaka 25 ambaye nina mpenzi tunayependana sana ila tatizo ni kwamba,tukipiga mechi huwa napata maumivu makali sn,na tatizo hili hutokea baada ya mechi ya pili kuanza na kuendelea,ila mechi ya kwanza huwa nainjoy sana. Sio kwamba huwa siandaliwi la hasha!mpenzi wangu huwa anajitaidi sana kufanya maandalizi ya hapa na pale. Wapendwa naombeni ushauri wenu,je yanipasa kwenda hospital maana nahic kama ni ugonjwa!na tatizo hili ni la mda mrefu sana!
 
pamoja na kujitahidi kufanya maandalizi ya hapa na pale bado maandalizi hayo hayatoshi...hivyo umakua bado mkavu. Mwambie azidishe maandalizi
 
Pole kunadawa ya kunywa ni ya kihaya, hakika ukiinywa utayafurahiya Mambo, ila tatazo utakuwa na maji mengi, yaani bwashemeji baada ya doz akikugusa utadhani Dawasco wamehamishia shuguli zao hapo.
 
Pole kunadawa ya kunywa ni ya kihaya, hakika ukiinywa utayafurahiya Mambo, ila tatazo utakuwa na maji mengi, yaani bwashemeji baada ya doz akikugusa utadhani Dawasco wamehamishia shuguli zao hapo.

hahha kama dawasco lol....ila ile sauti wakati mtalimbo inazama na kutoka full raha na yale maji yanavyoruka rruka
 
Pole kunadawa ya kunywa ni ya kihaya, hakika ukiinywa utayafurahiya Mambo, ila tatazo utakuwa na maji mengi, yaani bwashemeji baada ya doz akikugusa utadhani Dawasco wamehamishia shuguli zao hapo.

hahahahahaha we bwana c itakua kero sasa...
 
Kwa namna nilivyokusoma wewe ni mkavu... Yaani una ute mchache toka sehemu zako nyeti. Hivyo pale mnapo kutana mara ya kwanza huwa upo tayari na anakuingia kirahisi kuwafanya wote mfurahie. Inawezekana upo katika kundi la wanawake ambao akisha fika kileleni mara moja humchukua muda sana kupata tena hamu ya kufanya... Hiyo ina maana kuwa hata akikuanda kwa muda mrefu kwa mara ya pili unakuwa bado huna ile hamu ya kufanya huo ute utoke tena.

Hapa la msingi mshirikishe. Suala la tendo la 6/6 ni muhimu sana mkijenga tabia ya kuwa wazi na kujadili wapi unapenda kuguswa na kukupa hamasa zaidi, kitu gani cha kukera, ama hata hili la kuwa huwa unaumia mechi ya pili. Hakikisha tu unajenga mazingira ya yeye pia kuwa huru kushare. Maana mara nyingi wapenzi wengi huoneana aibu kujadili tendo lenyewe.

Ukifanya hivo (yaani kuchezewa tena na ukalainika) lakini bado ukaona unamuia, basi umuone daktari mara moja.

Pole sana na hopefully upate suluhu. Kila la kheri.
 
Pole kunadawa ya kunywa ni ya kihaya, hakika ukiinywa utayafurahiya Mambo, ila tatazo utakuwa na maji mengi, yaani bwashemeji baada ya doz akikugusa utadhani Dawasco wamehamishia shuguli zao hapo.
hahaha umenichekesha wallah!!!
 
Back
Top Bottom