ni vyema ikawa na core nyingi kadri utakavyoweza na kipato chako, iwe na ssd kwa ajili ya kumove mafile haraka na pia iwe na usb 3.0 port na kuendelea sababu simu mpya tayari zinakuja na usb 3.0. kasi ya hii usb 3 utaflash simu ndani ya dakika tu ukijumlisha na hio ssd.
budget hapo kwa uchache andaa 600,000-700,000 kwa core i3 laptop mpya ya watts 35 generation ya nne kupanda juu. na kama budget ipo unaweza panda hadi 1.5m kwenye i7 quadcore yenye thread nane.
kama budget ndogo zipo i3 used around 400,000-450,000 ambazo pia ni watts 35, sema ukishanunua itabidi ueke mwenyewe ssd,