Ushauri wenu katika matokeo haya

Ushauri wenu katika matokeo haya

Joined
Nov 3, 2019
Posts
47
Reaction score
32
Poleni na majukumu.

Mpwa wangu amepata matokeo haya. Naomba ushauri wenu

Civics- D, Hist-F, Geo-F, Kisw-D, Engl-F, Phy-F, Chem-F, Bio-D, B/Math-F.

Ushauri wenu unahitajika sana
 
Arudie form four, angalau apate D'4.! lakin ajitahidi sana mana akicheza itakula kwake tena
 
Poleni na majukumu.

Mpwa wangu amepata matokeo haya. Naomba ushauri wenu

Civics- D, Hist-F, Geo-F, Kisw-D, Engl-F, Phy-F, Chem-F, Bio-D, B/Math-F.

Ushauri wenu unahitajika sana

Pole sana....
Hata Kama ataenda veta ....
kielimu ataishia ngazi ya certificate throughout the life, Kama vipi niaje niaje arudie mtihani.
 
Back
Top Bottom