malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
Nimetoka hospital tofaut kuchek BP hospital yakwanza bp 138/64 PR 76 hospital ya pili BP 144/67 PR 67
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jihadhari una Presha ya kupanda na una miaka mingapi?Nimetoka hospital tofaut kuchek BP hospital yakwanza bp 138/64 PR 76 hospital ya pili BP 144/67 PR 67
33Jihadhari una Presha ya kupanda na una miaka mingapi?
Unayo presha ya kupanda kula punje 2 za kitunguu saumu kila siku asubuhi kabla ya kula kitu tafuna kisha meza na maji ya uvuguvugu kisha kaa kwamuda wa saabila ya kula kitu baada ya saakumalizika waweza kula chakula na wakati wa mchana fanya tena hivyo na wakati wausiku tumia tena hivyo unaweza pi kukamulia maji hayo ya uvuguvugu kipande cha limao ili dawa iwe ya nguvu zaidi tumia kwamuda wa siku 7 kisha kapime ikiwa bado hujapona nitafute mimi nipate kukupa dawa ya kukuponyesha kabisa maradhi yako uguwa pole.