UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
Habari zenu wana great thintkers,
Mdogo wangu anataka ushauri kwenu.
Yeye kaajiriwa kama mpaliliaji katika shamba la ekari 103 la miti pamoja na wenzie wengi.Tatizo watoto wa bosi ambao ni wasimamizi wa shamba wanawarubuni watoto wa kike wa mdogo wangu wanaosoma na wawili wameshatiwa mimba na kuwatelekeza, inaniuma lakini mdogo wangu anashindwa kusema kwakuwa kibarua kitaota nyasi.
Afanyeje?
Mdogo wangu anataka ushauri kwenu.
Yeye kaajiriwa kama mpaliliaji katika shamba la ekari 103 la miti pamoja na wenzie wengi.Tatizo watoto wa bosi ambao ni wasimamizi wa shamba wanawarubuni watoto wa kike wa mdogo wangu wanaosoma na wawili wameshatiwa mimba na kuwatelekeza, inaniuma lakini mdogo wangu anashindwa kusema kwakuwa kibarua kitaota nyasi.
Afanyeje?