Ushauri wangu kwa single mama

Ushauri wangu kwa single mama

Akili zenu wanawake bhana, mnazijua wenyewe.Wengi wenu u single maza mmeuchagua wenyewe.
 
Single mothers wengi hufanya hivo kutokana pengine chanzo cha kuvunjika hayo mahusiano ni yeye. Kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kulala kwa kificho na mwanaume ambaye ni mzazi mwenzake. Pengine hajielewi na kwa kupunguza maumivu ya majuto anaona atumike tu ovyo na huyo mzazi mwenzake.
NB: Thamani yako ni wewe mwenyewe waifahamu
ni ujinga uliopitiliza
 
Single mothers wengi hufanya hivo kutokana pengine chanzo cha kuvunjika hayo mahusiano ni yeye. Kwa mwanamke anayejitambua hawezi kukubali kulala kwa kificho na mwanaume ambaye ni mzazi mwenzake. Pengine hajielewi na kwa kupunguza maumivu ya majuto anaona atumike tu ovyo na huyo mzazi mwenzake.
NB: Thamani yako ni wewe mwenyewe waifahamu


Ni kweli, kuna wanaofanya bila kujali lakini pia kuna wanafanya hivyo kutokana na stress, na kutaka kujifariji.
Na mwanaume akiona udhaifu tu anautumia.,
 
Back
Top Bottom