kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Habari wana JF..
Kutokana na Slogan ya CCM na serikali yao kua wao ni Wasikivu,nimeona si vbaya nikatoa ushauri wangu kama ifuatavyo..
Kwa kuitumia CDM,CCM itaweza kutawala maisha!! Endapo wataitumia CDM kama chanzo cha ufumbuzi.wa Matatizo yanayoikabili Tanzania...
Kufuatilia Mikutano yao na kusikia ni maoni gani yanatolewa na wananchi..
Kero za Maji,Umeme,Wizi ,Ujambazi ulio kithiri sehemu mbali mbali hasa Jijini Dar..
Kwani Wananchi wana imani kua,CDM ndio mkombozi wao na rafiki yao,kiasi huwa free kupeleka malalamiko yao kwao na Wao CDM huyafikisha kwa CCM lakini badala ya kuyafanyia kazi,wanayapuuza..
Hii hupelekea Watanzania kuichoka CCM! Na Kuipandisha chat CDM pac na wao kujitambua..
Ni ushauri wangu kwenu CDM.. Watumieni CDM ili mtawale Milele!!
Kutokana na Slogan ya CCM na serikali yao kua wao ni Wasikivu,nimeona si vbaya nikatoa ushauri wangu kama ifuatavyo..
Kwa kuitumia CDM,CCM itaweza kutawala maisha!! Endapo wataitumia CDM kama chanzo cha ufumbuzi.wa Matatizo yanayoikabili Tanzania...
Kufuatilia Mikutano yao na kusikia ni maoni gani yanatolewa na wananchi..
Kero za Maji,Umeme,Wizi ,Ujambazi ulio kithiri sehemu mbali mbali hasa Jijini Dar..
Kwani Wananchi wana imani kua,CDM ndio mkombozi wao na rafiki yao,kiasi huwa free kupeleka malalamiko yao kwao na Wao CDM huyafikisha kwa CCM lakini badala ya kuyafanyia kazi,wanayapuuza..
Hii hupelekea Watanzania kuichoka CCM! Na Kuipandisha chat CDM pac na wao kujitambua..
Ni ushauri wangu kwenu CDM.. Watumieni CDM ili mtawale Milele!!