kajirita
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,575
- 637
Tukimaliza daraja la Kigamboni tushapiga bao! Yaani Dar CDM wasahau kabisa! Wanahangaika lakini wapi na Jimbo la Mdehe anaujua ukweli ndio maana haangaiki tena!
Hapa kwetu mliahidi maji ya bomba, machinga complex mbona hakuna dalili?Halafu hivi hilo daraja ni kwa faida ya wananchi au mnunuzi wa kisiwa(G.Bush)?