Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
Niaje? !
Naomba twende sawa tu wanawake wenzangu:
Ni lazima tukumbushane kuwa
1. Wanaume wakienda kujisaidia haja ndogo husimama
2. Wanawake wakienda kujisaidia haja kubwa hukaa kama sio kuchuchumaa
Sasa mwanamke unapotaka kumzidi mwanaume kwenye maisha ndio huleta haya matatizo yooote ya vilio kwenye Jamii kama
A. Wanaume wanachepuka
B. Wanaume wa sikuhizi wabaya
C. Wanaume wana vibamia
D. Wanaume hawajui kitu ndio mana tunapenda wazee
Unajua wewe kama mwanamke ukishajua haki zako kwenye mahusiano / mapenzi / ndoa na ukajitambua wewe ni nani (mwanamke ni shingo na sio kichwa) haya malumbano yooote yataisha
Mbona mama zetu waliishi na baba zetu vizuri?!
Vumilieni vijana ndoa nyingi na mahusiano mengi ya vijana zinakuwa juu ya mawe kwasababu wanawake wamesahau nafasi zao
Beijing (Elimu/ Haki sawa) isikufanye ukasahau kuwa sikio halizidi kichwa
Tulieni jomooni acheni ujinga
Narudia kuwa mwanaume akijisaidia husimama mwanamke hukaa/huchuchumaa ... usitake kusimama kama mwanaume utaumia
Alafu kama uko kwenye ndoa usimnyimee mpeee sa we kila siku umechoka woi. ..
Ni hayo tu kwa Leo, nadhani Somo nimeeleweka
Naomba twende sawa tu wanawake wenzangu:
Ni lazima tukumbushane kuwa
1. Wanaume wakienda kujisaidia haja ndogo husimama
2. Wanawake wakienda kujisaidia haja kubwa hukaa kama sio kuchuchumaa
Sasa mwanamke unapotaka kumzidi mwanaume kwenye maisha ndio huleta haya matatizo yooote ya vilio kwenye Jamii kama
A. Wanaume wanachepuka
B. Wanaume wa sikuhizi wabaya
C. Wanaume wana vibamia
D. Wanaume hawajui kitu ndio mana tunapenda wazee
Unajua wewe kama mwanamke ukishajua haki zako kwenye mahusiano / mapenzi / ndoa na ukajitambua wewe ni nani (mwanamke ni shingo na sio kichwa) haya malumbano yooote yataisha
Mbona mama zetu waliishi na baba zetu vizuri?!
Vumilieni vijana ndoa nyingi na mahusiano mengi ya vijana zinakuwa juu ya mawe kwasababu wanawake wamesahau nafasi zao
Beijing (Elimu/ Haki sawa) isikufanye ukasahau kuwa sikio halizidi kichwa
Tulieni jomooni acheni ujinga
Narudia kuwa mwanaume akijisaidia husimama mwanamke hukaa/huchuchumaa ... usitake kusimama kama mwanaume utaumia
Alafu kama uko kwenye ndoa usimnyimee mpeee sa we kila siku umechoka woi. ..
Ni hayo tu kwa Leo, nadhani Somo nimeeleweka