Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
Mimi ni muhitimu wa chuo kikuu age 26 kwa kifupi nina maisha mabaya mno especially kwenye saikolojia kwan nimekuwa nikisumbuliwa sana na msongo wa mawazo, napiga sana punyeto ntajitahid kuacha , nimekuwa muoga sana kwan hali yangu ya kiafya imekufa sio nzuri sana nimekuwa nikisumbuliwa sana na uchovu uliokithiri, maumivu kwa mbali kwenye joints Kuna muda hunitoka vijipele vidogo vyekundu mwilini nakuwa naogopa mno nimeenda hospital mara nyingi sana kuangalia kama nina presha lakin sikuwah kuwa nayo,
Kuna kipindi mwili uankosa nguvu kabisa nimekuwa muoga kwa kufikiria Magonjwa makubwa mno nimejawa na hofu kubwa mwilini kwan kila kinachotokea mwilini kwangu kimenifanya nitengeze hofu hii haya yote yalitokea baada ya kuwa na mahusiano na Dada mmoja ambaye anadai ni muathirika lkn kwa sasa tumeachana nimejaribu kucheki afya maranyingi mno lakin sina mambukizi .
Je ndugu zangu nini tatizo naombeni USHAURI kuondokana na hii hari. Kwa sasa baadhi ya vidole vyang vya mkono vimekuwa kama vinavibrate kwa muda pamoja na macho.
Kuna kipindi mwili uankosa nguvu kabisa nimekuwa muoga kwa kufikiria Magonjwa makubwa mno nimejawa na hofu kubwa mwilini kwan kila kinachotokea mwilini kwangu kimenifanya nitengeze hofu hii haya yote yalitokea baada ya kuwa na mahusiano na Dada mmoja ambaye anadai ni muathirika lkn kwa sasa tumeachana nimejaribu kucheki afya maranyingi mno lakin sina mambukizi .
Je ndugu zangu nini tatizo naombeni USHAURI kuondokana na hii hari. Kwa sasa baadhi ya vidole vyang vya mkono vimekuwa kama vinavibrate kwa muda pamoja na macho.