Midozenj01
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 410
- 400
Refer to pic below then naomba mnishauri ma expert kwa majibu hayo mimba ipo....
Nna tempa balaa wakuu...
Nawasilisha
Nna tempa balaa wakuu...
Nawasilisha
Anakuibia tu! Hamna mimba hapoRefer to pic below then naomba mnishauri ma expert kwa majibu hayo mimba ipo....
Nna tempa balaa wakuu...
NawasilishaView attachment 896557
Hamna mimba.Refer to pic below then naomba mnishauri ma expert kwa majibu hayo mimba ipo....
Nna tempa balaa wakuu...
NawasilishaView attachment 896557
hamna kitu apoRefer to pic below then naomba mnishauri ma expert kwa majibu hayo mimba ipo....
Nna tempa balaa wakuu...
NawasilishaView attachment 896557
Ana wasiwasi sana,.ila mbona kama ipo vile tena ya siku mbili...Mkuu kusoma haujui si kuna maelezo kabisa ya picha na maneno
Hakuna mimba punguza wasiwasi

yeah mkuu ipo sema inawezekana bado changa sana,nimezoom nimeona faint line.Naona km kuna mistari miwili ila kimoja hakijakolea, km ni kweli vipo viwili basi jiandae kulea.
yeah mkuu ipo sema inawezekana bado changa sana,nimezoom nimeona faint line.
hahaa acha kumtia Jakamoyo AiseeAna wasiwasi sana,.ila mbona kama ipo vile tena ya siku mbili...![]()
Hahahahaha! Mbavu zangu mieKumega kutamu sana balaa linakuja akianza kusema kapoteza siku zake, unatamani uende kumsaidia kuzitafuta zilikopotelea.