Ushauri wako tafadhali kwa mtu huyu

Ushauri wako tafadhali kwa mtu huyu

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,665
Hello jf,

Nakuombeni ushauri wa haraka sababu hii shughuli nataka kuifanya muda huu, kuna jamaa anakunywa sana pombe sasa nikaambiwa nimpe mafuta ya nguruwe wakati amelewa ataacha kabisa.

Sasa sidhani kama ni kweli wenye taarifa zaidi jamani.
 
huo ni uongo uliokomaa na hauna mashiko.ebu fikir kwenye bar za wachaga karibu zote nyama ya nguruwe inauzwa na nguruwe nyama yake imejaa mafuta tupu sasa kama ingekuwa mafuta ya nguruwe ni dawa nafikiri bar za wachaga zingeshafilisika maana wateja wao wangeacha kunywa pombe. aliyekuambia kaongea tu.
 
Mkuu jarib ili upate matokeo utufahamishe na sisi tuprove...tafadhali
 
Mnunuli pombe alafu weka maziwa ya mama kidogo asijue akinywa atatapika akisikia arufuyapombe anakimbia mwenyewe ndo dawa tosha
 
huo ni uongo uliokomaa na hauna mashiko.ebu fikir kwenye bar za wachaga karibu zote nyama ya nguruwe inauzwa na nguruwe nyama yake imejaa mafuta tupu sasa kama ingekuwa mafuta ya nguruwe ni dawa nafikiri bar za wachaga zingeshafilisika maana wateja wao wangeacha kunywa pombe. aliyekuambia kaongea tu.


Nilimuwekea akatapika sana lakini leo ameonekana kuendeleza pombe
 
huo ni uongo uliokomaa na hauna mashiko.ebu fikir kwenye bar za wachaga karibu zote nyama ya nguruwe inauzwa na nguruwe nyama yake imejaa mafuta tupu sasa kama ingekuwa mafuta ya nguruwe ni dawa nafikiri bar za wachaga zingeshafilisika maana wateja wao wangeacha kunywa pombe. aliyekuambia kaongea tu.

Hahaaaaaaaaa haaaaa mkuu ina maana baa zote ni za wachaga
 
Dawa Pekee ya Pombe na yenye uhakika ni kukataa dhambi na kuamua kufata maadili ya Mungu! kama utahitaji msaada zaidi wa Dawa Hii nijulishe takusaidia!
 
Back
Top Bottom