Ushauri wako kidogo

kavhazard

Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
20
Reaction score
7
Nimetemwa first round
Nataka niendelee kusoma sayansi chuoni
Nimemaliza pcm nikiwa na DDE
Kama in mzoefu naomba nishauri
Kidogo ili niweze kuchaguliwa
Kama una idea ya faculty yoyote nili niweze kuangalia na chuo
Niweze kuapply vizuri kwa round hii
[HASHTAG]#nimewasilisha[/HASHTAG]
Asante
 
Second round bado haujaply...??
Kmaa bado ingia uchki faculty ambazo zinanafsi na Pima na matokeo yako
 
Chagua fan mojawapo kati ya zile upendazo katika unversity/collage ambazo hazina competition saana kama ilivyo kwa DIT... UDSM....UDOM.... MUST.... .
 
Check quantity surveying ya udsm
 
Kijana fanya mara hii kuwekea vipaumbele moja ama zote kwa pamoja kozi zifuatazo (i) BSc. Industrial Engineering Management au /na (iii) BSc. Productiona and Operations Management za chuo Mzumbe Chuo Kikuu.
 
Kijana fanya mara hii kuwekea vipaumbele moja ama zote kwa pamoja kozi zifuatazo (i) BSc. Industrial Engineering Management au /na (iii) BSc. Productiona and Operations Management za chuo Mzumbe Chuo Kikuu.
Nashukuru bro
Afu MBNA nijaza tatu zinagoma kuongezeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…