Mtuhurumawazo
Senior Member
- May 19, 2012
- 146
- 27
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 27, nina rafiki wangu wa kike ambae tunakula tunda pamoja mara kwa mara. Ila nilisafili mara moja kwenda kijijini kuwasalimia wazazi kwa muda wa wiki 2.abia so huku nyuma akaanza tabia ya kwenda club ambapo nilipokuwa pamoja nae hajawahi kwenda so nikiwa kijijin rafiki yangu akanipigia simu kuwa shemu ameenda club na na kakutana na mafirauni wamembaka. Nilipo rudi hataki tuonane na anajifungia andani muda wote so sijui la kufanya naomba ushauri wenu.