mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
kuna rafiki yangu anafanya kazi ttcl amepewa barua ya termination of contract mkataba wake ulikuwa unaisha september 26 amepewa ghafla bila notification yoyote je hio ni sahihi ...anaweza kupata msaada wapi ?