Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,255
ndio daily routine yao ...hata jana walikuwa kwa hotel wataamka saa sita we wasubiri tu waje 😂Hahahahahha
Tukio la wiki iliopita huko Dom
ndio daily routine yao ...hata jana walikuwa kwa hotel wataamka saa sita we wasubiri tu waje 😂Hahahahahha
Tukio la wiki iliopita huko Dom
Mkuu yaani hiyo ndo style mpya ya hapa mjini, huwa najiulizia wakiwa wanatoka makwao akili wanazichomoa kichwani, wanaazima akili za kitimoko!! yaan hii sasa inakuwa too much. Vyuma vikiendelea kukaza miaka minne ijayo nakuapia hawa watu watabaka wanaume mchanaaaaaaaJuzi nilikuwa Morena Hotel
Napata Dinner nikaona mademu 4 wamekaa kama wanasubiria mtu, ukiwaangalia tu unaona kabisa hawa wanadanga, sidhani kama walikuwa wanafunzi maana sura na makeup zilikuwa zakudanga.
Akaja Mzee mmoja wakamsalimia, baadae Mzee akaondoka na danga lake wakaenda kukaa pembeni wale wengine wanacheka.
Yani, nilimhurumia sana yule mzee!
Demu alikuwa anajiseksisha mbaya, tena kwa sauti sijui sifa au ndio mbinu mpya ila ilikuwa too much, watu wanamshangaa yule demu haachi utadhani yupo studio anaimba.
Huko kumshika sasa mzee wa watu utadhani wanataka kuzini!
Yani kidogo niende kumtoa yule mzee nijifanye mwanae nikaogopa kupigwa picha maana vitoto na simu sikuhizi huchelewi kujikuta kwenye magazeti.
Najua demu wa watu alikuwa anajaribu bahati yake na najua chenji zimebakia lakini kujisexisha sio njia ya kupokea chenji!
Wadada punguzeni kujisexisha kwa nguvu hadharani kama mapaka yanayowanga usiku, kama ipo ipo tu, mikelele peleka kwa bed.
Ni hayo tu kwa leo, doh! Mademu wa kiTanzania bado wapo vile vile!
Maisha magumu lakini ila ile movie ilikuwa bonge ya SINEMA!
PS:
Msiempenda kaja!
Uuuwindio daily routine yao ...hata jana walikuwa kwa hotel wataamka saa sita we wasubiri tu waje 😂
Hahahahahha nimecheka maskini ya MunguMkuu yaani hiyo ndo style mpya ya hapa mjini, huwa najiulizia wakiwa wanatoka makwao akili wanazichomoa kichwani, wanaazima akili za kitimoko!! yaan hii sasa inakuwa too much. Vyuma vikiendelea kukaza miaka minne ijayo nakuapia hawa watu watabaka wanaume mchanaaaaaaa
Wanawake wa dar wamehamia dom wananajua wanaume waliohamia huku wamekuja bila wake zao kwahiyo wanawadangiaTukio lilifanyika Dom lkn
Wanawake wa dar wamehamia dom wananajua wanaume waliohamia huku wamekuja bila wake zao kwahiyo wanawadangia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sheedah
Hiyo habar siyo ngeni mm ndo shuhuda heeee wanaume hawa waliotoka dar ni shidaaaHahaha uuuwi
Wenye wake zao Dom wapande haraka
Kwahiyo na wewe una danga au shilawadu wa madanga kama mimi? ! AhahahaHiyo habar siyo ngeni mm ndo shuhuda heeee wanaume hawa waliotoka dar ni shidaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeolewa na miaka 18 udanga nauskia kwa jirani tuApia kama hujawahi kudanga wala kula hata 1000 ya mwanaume.
Hahhejeej sna neno hapo sipo kote koteKwahiyo na wewe una danga au shilawadu wa madanga kama mimi? ! Ahahaha
Hahahahhaando mana me nlikataa kuzaliwa wakike.
Aiya
Atawannyoosha balaaaaa mpaka mtajua nguvu ya jerokua now in thamaniHahahahahha nimecheka maskini ya Mungu
Acha atunyooshe