kumbe hawa viumbe wapo dar tu eeeh 😂😂😂😂 ila kuna siku nilikutana nao arusha au ni hawa hawa wa dar walienda arusha
😂😂😂😂😂 basi wanatembea sana aseeEe huwaga ni wa dar hao tuwanahama hama ila makao makuu dar
Inaitwa Swanglish ManMi nachukia wanavyojisexisha huku anaongea kiswahili kama cha kingreza vile.swahili slang
Sent using Jamii Forums mobile app
Full LoadedKwa mwanamke kujibebisha hadharani haina shida sana... kwa sababu kujibebisha ni sawa na kudeka...
Il kujisexisha ni habari nyingine... itakua alisikitisha sana...
Cc: mahondaw
Ni sheedahAtawannyoosha balaaaaa mpaka mtajua nguvu ya jerokua now in thamani
hapana sio kweli. kwanza nngekuwa nagawa sana papuchu hvy nngekufa na magonjwa ila me n mwanaume na namlindia heshima mke wangu.Hahahahhaa
Ungekuwa wa kike Ungekuwa mbali na hapo ulipo hujui tu
sawahapana sio kweli. kwanza nngekuwa nagawa sana papuchu hvy nngekufa na magonjwa ila me n mwanaume na namlindia heshima mke wangu.