Ushauri wa wanawake kwa wenzao ambao bado mabikira

Kyooma

JF-Expert Member
Sep 20, 2013
224
98
Mara nyingi apa jamvini wanawake wengi ambao ni mabikira wamekua wanakuja kuomba ushauri juu ya wapenzi wao wanaotaka tunda kabla ya ndoa, mara nyingi mabira hawa uomba ushauri afanyeje ili aweze kutunza bikira yake mpaka siku ya ndoa. Mabikira hawa pia huja apa wakitaka ushauri wa kunusuru mahusiano yake lakini bila kutoa tunda kwa wampenzi wao walio nao


Sasa ona majibu ya wanawake wa humu

Mdada wa 1: Anaanza kwa kumpa pole alafu anendelea mwambie huyo mpenzi wako kama anakupenda avumilie mpaka siku ya ndoa na kumwambia blah... blah... nyingi


Mdada wa 2: Endelea na msimamo wako wa kutompa , mtunzie mmeo atakaekuja kukuoa pia italeta heshima kwenye familia yenu utakapoolewa na bikira yako na blah.. blah... kibao


Mdada wa 3: Tunza bikira yako dada akiendelea kukusumbua kwa hilo hachana nae atakua hakupendi maana kama anakupeda atavumilia mpaka siku ya ndoa na blah.. blah.. nyingi


Unakuta karibia wadada wote wanamshauri mwenzao atunze hiyo bikira yake, na wengi wa washauri hao waliolewa au wapenzi wao wa sasa walikuta zishakua MITUMBA



SWALI KWENU

Hivi nyie huu ushauri mnaowapa wenzenu mlishindwa vipi kuutumia huo ushauri na kuzutunza bikira zenu mpaka siku mtakapo olewa? Au waliowatoa ndo wamewaoa? Au ndo mganga hajigangi??
 
unauhakika kunahata mmoja ni bikira kati ya hao wanaoomba ushauri?? Wanaotoa huo ushauri, ndio kati ya wanaomuhudumia jamaa kabla ya ndoa yake na huyo "bikira" hvo unadhani wanatoa kwa nia njema na moyo safi??
 
Kuna bikra we bana acha kutuzingua. Yupi bikra aliewahi kuomba ushauri hapa jf. zilishacholopoka kwenye ummisseta alafu wanatuzingua tuu!
 
Mara nyingi apa jamvini wanawake wengi ambao ni mabikira wamekua wanakuja kuomba ushauri juu ya wapenzi wao wanaotaka tunda kabla ya ndoa, mara nyingi mabira hawa uomba ushauri afanyeje ili aweze kutunza bikira yake mpaka siku ya ndoa. Mabikira hawa pia huja apa wakitaka ushauri wa kunusuru mahusiano yake lakini bila kutoa tunda kwa wampenzi wao walio nao


Sasa ona majibu ya wanawake wa humu

Mdada wa 1: Anaanza kwa kumpa pole alafu anendelea mwambie huyo mpenzi wako kama anakupenda avumilie mpaka siku ya ndoa na kumwambia blah... blah... nyingi


Mdada wa 2: Endelea na msimamo wako wa kutompa , mtunzie mmeo atakaekuja kukuoa pia italeta heshima kwenye familia yenu utakapoolewa na bikira yako na blah.. blah... kibao


Mdada wa 3: Tunza bikira yako dada akiendelea kukusumbua kwa hilo hachana nae atakua hakupendi maana kama anakupeda atavumilia mpaka siku ya ndoa na blah.. blah.. nyingi


Unakuta karibia wadada wote wanamshauri mwenzao atunze hiyo bikira yake, na wengi wa washauri hao waliolewa au wapenzi wao wa sasa walikuta zishakua MITUMBA



SWALI KWENU

Hivi nyie huu ushauri mnaowapa wenzenu mlishindwa vipi kuutumia huo ushauri na kuzutunza bikira zenu mpaka siku mtakapo olewa? Au waliowatoa ndo wamewaoa? Au ndo mganga hajigangi??
they have experienced the 'loss' na wakaona its 'not worth it'.
 
Nini maana ya ushaur????either kujenga au kubomoa kwa mshauriwa,sasa kama mimi nilikosea kupita njia fulan kwann na mwenzangu apotee???

Katika maisha kuna watu ni madaraja ili watu wengine waweze kupita!!!
 
Mara nyingi apa jamvini wanawake wengi ambao ni mabikira wamekua wanakuja kuomba ushauri juu ya wapenzi wao wanaotaka tunda kabla ya ndoa, mara nyingi mabira hawa uomba ushauri afanyeje ili aweze kutunza bikira yake mpaka siku ya ndoa. Mabikira hawa pia huja apa wakitaka ushauri wa kunusuru mahusiano yake lakini bila kutoa tunda kwa wampenzi wao walio nao


Sasa ona majibu ya wanawake wa humu

Mdada wa 1: Anaanza kwa kumpa pole alafu anendelea mwambie huyo mpenzi wako kama anakupenda avumilie mpaka siku ya ndoa na kumwambia blah... blah... nyingi


Mdada wa 2: Endelea na msimamo wako wa kutompa , mtunzie mmeo atakaekuja kukuoa pia italeta heshima kwenye familia yenu utakapoolewa na bikira yako na blah.. blah... kibao


Mdada wa 3: Tunza bikira yako dada akiendelea kukusumbua kwa hilo hachana nae atakua hakupendi maana kama anakupeda atavumilia mpaka siku ya ndoa na blah.. blah.. nyingi


Unakuta karibia wadada wote wanamshauri mwenzao atunze hiyo bikira yake, na wengi wa washauri hao waliolewa au wapenzi wao wa sasa walikuta zishakua MITUMBA



SWALI KWENU

Hivi nyie huu ushauri mnaowapa wenzenu mlishindwa vipi kuutumia huo ushauri na kuzutunza bikira zenu mpaka siku mtakapo olewa? Au waliowatoa ndo wamewaoa? Au ndo mganga hajigangi??


1. kwenye red. huwezi jua baadhi yao walizipotezaje...mfano, kubakwa au mazingira yoyote yale. huwezi wanajutia kwa kiasi kupoteza bikira zao kabla ya kuolewa
2. kwenye nyeusi: kutokuwa na bikira hakuwaondolei moral authority ya kuwashauri wasichana wengine wasipoteze bikira zao b4 marriage.

huwa huoni hataya baadhi walevi au wavuta sigara wanawashauri wengine wasiingie kwenye hayo mambo?

hujawahi kukaa na mbwia unga(achana na wenye mkwanja) ukamsikiliza kilichomfanya aingie huko? tusihukumu.

anyway, uzinzi ni dhambi kwa dini na imani yoyote hapa duniani. ukimshauri mtu azini, damu yake itakulilia mikononi mwako siku ya mwisho.
 
hutaki nini?? mbona inakuhusu

sitaki kuongelea hili swala! huwa naona kama wadada wengi wanatolewa bikra wakiwa wao wenyewe hawapo tayari. na nahisi asilimia kubwa wametolewa na ndugu zao i mean wamebakwa wanashindwa kusema tu.. nionavyo mimi.
 
Nini maana ya ushaur????either kujenga au kubomoa kwa mshauriwa,sasa kama mimi nilikosea kupita njia fulan kwann na mwenzangu apotee???

Katika maisha kuna watu ni madaraja ili watu wengine waweze kupita!!!
Naafiki usemayo miss strong haimaanishi kama ww ulikosea umshauri mwenzako apitie makosa hayo hayo...Hakuna aliyekamilika ijapokuwa si wote ni mfano maridhawa lakini tunashauri kile ambacho kina maslahi kwa muathirika(victim)!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom