Ushauri wa sehemu wanayofanya ufadhili wa masomo

HAFIDH FADHIL

Member
Jan 20, 2020
9
5
Habari zenu wana JF,

Nilikuwa naomba ushauri/msaada kama kuna yeyote anaefahamu taasisi au sehemu wanayotoa ufadhilibwa masomo kwa ngazi ya Diploma kwa wale wasioweza kumudu ada. Mimi ni kijana nimeomba chuo Diploma ya Afya lakini nimeshindwa kuendelea sababu ya ada
 
Back
Top Bottom