Hao unaowazungumzia hapo nawafahamu vilivyo. Sasa ni hivi
Huyo kaka alimpa ruhusa mke wake akamuuguze dada yake, wiki imekatika dada yake bado hali haikuwa nzuri akaomba kuendelea, kilichotokea baada ya hapo sasa. Huyo kaka akaandika kwenye wall yake ya fb "nimemruhusu mke wangu akasalimie wiki moja kaongeza sasa ni wiki ya pili naomba mnishauri nifanyeje?" sasa mtu kama huyo mambo ya yeye na mke wake akayaanike huko hiyo ni nzuri kweli?
Toka hapo mahusiano yakawa sio mazuri, akamwambia "ukirudi usifikie nyumbani kwangu", mkewe alivyorudi akafikia nyumbani kwao. .
lutolucy na Mshua, kisa hucho mnakijua zaidi?
Mshua, maelezo yako yanakosekana kitu.... Haiwezekani mke aende kwao bila sababu ya msingi.....
Swali, mkioana, unaomba ruhusa? Mkeo hana uhuru? Mume ruhusaanaomba wapi?
Ndoa sio utumwa, ni kuoanga na kusikilizana, mtakapoishi kama mume na mke mtadumu, ila mkiishi kama mtu na mtwana matokeo yake ni hayo.....
lutolucy...
Kama unayisema ni kweli huyo mwanaume ana tatizo kubwa...... Mambo ya ndoa yako huwezi yaanika sio tu kwenye fb hata mtaani hayapaswi kujulikana..... Kama usemayo ni kweli huyo mwanaume aache ubinafsi, aache kumchukulia mwenzie kama mtoto, mtu asiyekuwa nz mamlaka, asiyekuwa na maamuzi.....ndoa ni kushirikiana.....
Kama unayosema ni kweli, huyo mke hakujua yote hayo kioindi cha uchumba? Hkujua tabia ya mwanaume kabla hajajiingiza ndoani?
Mwisho ndoa ni mke na mume....
Wao ndo wenye uwezo wa kubadilisha na kujijenga vile watakavyo....kila mmoja akimheshimu mwenzie na kuepuka kumtendea yale ambayo hataki atendewe ndoa huwa tamu.....
Mwisho ubabe, ubinafsi, umiliki, tabia chafu, ubosi, utumwa havina nafasi kwenye ndoa....
lutolucy na Mshua, kisa hucho mnakijua zaidi?
Mshua, maelezo yako yanakosekana kitu.... Haiwezekani mke aende kwao bila sababu ya msingi.....
Swali, mkioana, unaomba ruhusa? Mkeo hana uhuru? Mume ruhusaanaomba wapi?
Ndoa sio utumwa, ni kuoanga na kusikilizana, mtakapoishi kama mume na mke mtadumu, ila mkiishi kama mtu na mtwana matokeo yake ni hayo.....
lutolucy...
Kama unayisema ni kweli huyo mwanaume ana tatizo kubwa...... Mambo ya ndoa yako huwezi yaanika sio tu kwenye fb hata mtaani hayapaswi kujulikana..... Kama usemayo ni kweli huyo mwanaume aache ubinafsi, aache kumchukulia mwenzie kama mtoto, mtu asiyekuwa nz mamlaka, asiyekuwa na maamuzi.....ndoa ni kushirikiana.....
Kama unayosema ni kweli, huyo mke hakujua yote hayo kioindi cha uchumba? Hkujua tabia ya mwanaume kabla hajajiingiza ndoani?
Mwisho ndoa ni mke na mume....
Wao ndo wenye uwezo wa kubadilisha na kujijenga vile watakavyo....kila mmoja akimheshimu mwenzie na kuepuka kumtendea yale ambayo hataki atendewe ndoa huwa tamu.....
Mwisho ubabe, ubinafsi, umiliki, tabia chafu, ubosi, utumwa havina nafasi kwenye ndoa....
Mwanaume kuachwa huwa inauma kweli....................!lotolucy hicho usemacho kina ukweli? au unadilute? kamani kweli basi kaka atakuwa na matatizo tena makubwa..ambapo wanahitaji kukaachini wote wayazungumze...ndio shida ya kuolewa na masharobaro mweee
coment zako zako zina njia mbili zisizofana ila kesho nitakuja na majibu yote ya unachokisenma na kwa kuwa ni mwanamke utajigundua kuwa mpaka unafika hapo mama yako na baba yako wana elimu kuliko uliyonayo kwenye mambo ya mahusiano kama kweli umelewa kinachomhusus rafiki yangu.
nitakuja na upande wa pili wa shilingi kesho kwa kuwa ndugu yangu hajui kama nimeamua kuomba ushauri huu kwenye mkusanyiko wa watu wasiowaona. ila leo nilikuwa na maongezi na upande wa pili wa shilingi.
Hao unaowazungumzia hapo nawafahamu vilivyo. Sasa ni hivi
Huyo kaka alimpa ruhusa mke wake akamuuguze dada yake, wiki imekatika dada yake bado hali haikuwa nzuri akaomba kuendelea, kilichotokea baada ya hapo sasa. Huyo kaka akaandika kwenye wall yake ya fb "nimemruhusu mke wangu akasalimie wiki moja kaongeza sasa ni wiki ya pili naomba mnishauri nifanyeje?" sasa mtu kama huyo mambo ya yeye na mke wake akayaanike huko hiyo ni nzuri kweli?
Toka hapo mahusiano yakawa sio mazuri, akamwambia "ukirudi usifikie nyumbani kwangu", mkewe alivyorudi akafikia nyumbani kwao. baada ya hapo akaenda nyumbani kwa mme wake akachukua vitu vyake ambavyo alipewa zawadi kwenye kitchen part yake pamoja na send of yake. Huyo kaka kuona hivyo akaamua kwenda POLISI moja kwa moja kumshtaki yule mwanamke kwamba kamuuibia nguo zake za mtoto pamoja na hela. Baada ya kufungua hiyo kesi hakurudi tena POLISI. akaanza kutangaza kwamba mwanamke simtaki nirudishiwe mahali yangu.
Huyo kaka ni mnyanyasaji vibaya mno, katika maisha tunayoishi tunatakiwa kushirikiana na wenzetu na hasa majirani zetu. huyo kaka hataki kujishughulisha na chochote kuhusu jamii inayomzunguka, na huyo mke wake hapendezewi na hiyo tabia, kuna leo na kesho na wakukuwahi ni majirani kabla ya ndugu zako kufika. sasa huyo kaka hana mahusiano mazuri na watu inafikia kipindi haendi kwenye shughuri yeyote ile ambayo haina pombe. Alafu huwa anamtolea maneno ya kashfa sana mke wake kama vile alilazimishwa kumuoa.
Yaani kuna mengi ambayo huyo kaka hajakwambia. Kukosea kupo aombe tu radhi yaishe asiendelee kuyaweka haya mambo yakawa makubwa.
Yaani hapa ndipo panakuwaga patamu.
Mtu anakuja na story inayopotray picha ya jinsi gani yeye ni innocent victim, halafu mtu wa upande wa pili anakuja na his/her version.
Angalizo, ukitaka ushauri wenye manufaa; weka kila kitu as it was/is. Ukiiweka ikufeve, well tutakufeva na mwisho wa siku soln hupati. Sympathy, yes utapata that's all!