Wakuu naombeni ushauri hasa kwa wale wazoefu wa hizi ninakibiashara changu sasa nataka ninunue domain nitumie kwenye upande email mfano info@jorunalbooks.com Na pia upande wa ku host mail inakuwaje!
Gmail hawa unaowajua wewe wana huduma ya kutengeneza custom mail ya jina unalotaka. bei yao sikumbuki ila shughuli zote utamaliza kwenye interface kama ya Gmail lakini ukiwa na email binafsi
Gmail hawa unaowajua wewe wana huduma ya kutengeneza custom mail ya jina unalotaka. bei yao sikumbuki ila shughuli zote utamaliza kwenye interface kama ya Gmail lakini ukiwa na email binafsi
Pata hosting kwa Tsh 110,000\= tu ,Hii ikiwa na mambo yafuatayo unayapata kama offer
1)1GB mysql space ,40GB bandwidth.
2) Free domain .tz
3) Free SSL
Please tucheki WhatsApp 0687 535650