Mahunda Jr
Member
- Apr 5, 2020
- 30
- 25
Habar.
Nasumbuliwa na shida ya mwili kukosa nguvu hasa mikono na miguu, pia nahis ganzi miguuni na mikonon pamoja na maumivu nikikunja na kukunjua viganja vya mikono.
Je hizi ni dalili za nn?
Nasumbuliwa na shida ya mwili kukosa nguvu hasa mikono na miguu, pia nahis ganzi miguuni na mikonon pamoja na maumivu nikikunja na kukunjua viganja vya mikono.
Je hizi ni dalili za nn?