Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Kumekuwa na wimbi kubwa la kikundi cha wahuni wanaopotosha wanawake kwamba kila mwanaume ni lazima awe na wanawake wengi hata kama ameshaowa!
Naomba kundi hilo lipuuzwe maana tupo wanaume wenye staha na hofu ya Mungu na tunadumu na mwanamke mmoja tu. Na pia ni wanaume marijali kabisa tumeamua kushinda tamaa
Mwanaume mwenye tamaa za hovyo ni mwanaume dhaifu sana ndio wale wakienda jela wanaolewa. Kwahiyo wanawake kuweni na amani kabisa msitishwe na Genge la Wahuni
Naomba kundi hilo lipuuzwe maana tupo wanaume wenye staha na hofu ya Mungu na tunadumu na mwanamke mmoja tu. Na pia ni wanaume marijali kabisa tumeamua kushinda tamaa
Mwanaume mwenye tamaa za hovyo ni mwanaume dhaifu sana ndio wale wakienda jela wanaolewa. Kwahiyo wanawake kuweni na amani kabisa msitishwe na Genge la Wahuni