DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Wadau ni muda sasa umepita tangu nianze kuomba ushauri juu ya wazo langu la biashara ya viatu na mikoba ya kike hapa songea bila kupata michango ya wadau.
Hadi leo hii maendeleo juu ya uanzishwaji wa biashara hii yamefikia 90%. Leo napenda kupata mchango wowote wa wadau juu ya biashara hii kama vile, hitaji la wateja kwa sasa, changamoto, upatikanaji way mzigo wa uhakika kwa bei rafiki nk.
Ahsanteni!
Hadi leo hii maendeleo juu ya uanzishwaji wa biashara hii yamefikia 90%. Leo napenda kupata mchango wowote wa wadau juu ya biashara hii kama vile, hitaji la wateja kwa sasa, changamoto, upatikanaji way mzigo wa uhakika kwa bei rafiki nk.
Ahsanteni!