neema pita
Member
- Apr 26, 2012
- 30
- 6
- Thread starter
-
- #21
[/QUOT
- do u think about her mnapokuwa apart?? (daydream, longing etc)
- how about ur bf?
- do u see urself living with another woman assuming ur family accepts?
sina hisia kabisa na bf wangu bt nampenda. cha ajabu nikiwa mbali na gf wangu simfikirii kabisa mpaka nikiwa nae close
have u considered getting another bf? the gf thing might be infatuation au just lust since its stronger akiwa near and not when far? ukiwa una-doo na bf do u think of the gf? sry for so many qns, I'm trying to see if u're lesbian, bi or straight with 'nyumba ndogo'[/QUOT
- do u think about her mnapokuwa apart?? (daydream, longing etc)
- how about ur bf?
- do u see urself living with another woman assuming ur family accepts?
sina hisia kabisa na bf wangu bt nampenda. cha ajabu nikiwa mbali na gf wangu simfikirii kabisa mpaka nikiwa nae close
have u considered getting another bf? the gf thing might be infatuation au just lust since its stronger akiwa near and not when far? ukiwa una-doo na bf do u think of the gf? sry for so many qns, I'm trying to see if u're lesbian, bi or straight with 'nyumba ndogo'
nikitaka nienjyo sex na bf wangu basi nivute hisia jinsi anavyonifanyia gf wangu ndio nienjoy apart from hapo sijisikii raha yoyote nafanya kumridhisha yeye tu kwa sasa sijafikiria kuwa na bf mwingine coz stil nampenda
nilikua nasoma Bwiru girls sasa kulikua na mambo ya kijembe, best, sweet, na ukifika lazima upate best, sweet, darling waliokutangulia vidato ndo wanaokuomba nikama mtu kukuaproach ukikubali ndo mnakuwa mnafanya hivyo so nilianza nikiwa form onne jaman mpaka wakati mwingine nachukia basi tu
girls ni mbaya sana jaman, mnafanya usiku na siku ukilala kwa kijembe wako au darling watu wanajua kabisa fulani kavusha hivyo lispect na mnazipa mashuka pembeni mwa kitanda kama kuna redio kunakua na mziki laini hivyo kwakua nikawwaida hata kwa wengine hawaoni kama ni kitu cha ajabu
Neema pita umenifurahisa sana hasa humo Bwenini mnavyolala, hebu tuhabarishe nasikia huwa ikinasa inavuta km pump inavyovuta vaccum na hata wakiolewa nasikia ni vigumu kuachana. (hapo nani alikuwa kidume kati yako na mwenzako?)girls ni mbaya sana jaman, mnafanya usiku na siku ukilala kwa kijembe wako au darling watu wanajua kabisa fulani kavusha hivyo respect na mnaziba mashuka pembeni mwa kitanda kama kuna redio kunakua na muziki laini hivyo kwakua ni kawaida hata kwa wengine hawaoni kama ni kitu cha ajabu
nilikua nasoma Bwiru girls sasa kulikua na mambo ya kijembe, best, sweet, na ukifika lazima upate best, sweet, darling waliokutangulia vidato ndo wanaokuomba nikama mtu kukuaproach ukikubali ndo mnakuwa mnafanya hivyo so nilianza nikiwa form onne jaman mpaka wakati mwingine nachukia basi tu
nilikua nasoma Bwiru girls sasa kulikua na mambo ya kijembe, best, sweet, na ukifika lazima upate best, sweet, darling waliokutangulia vidato ndo wanaokuomba nikama mtu kukuaproach ukikubali ndo mnakuwa mnafanya hivyo so nilianza nikiwa form onne jaman mpaka wakati mwingine nachukia basi tu
Unachukia kitu gani saa nyingine msagaji??eti msaada wa haraka??na hiyo miaka 6 mbona hukuwa na haraka nayo ukaacha mapema?? Unachoboa unajijua kama ni msagaji,na unajua kama unafanya makosa,sema unatafuta njia za kuhalalishiwa huo usagaji.
mimi nimsichana mwenye miaka 22. jamani sijui ninamatatizo ninampenzi wangu wa kike 1 na ninampenzi wa kiume cha ajabu na furahi sanna pindi napofanya romance na mwanamke mwenzangu kuliko boyfriend wangu nimejaribu kuacha nashindwa nimiaka 6 sasa nitumie dawa ganni jamaan au ndio nimeshaaribika hivyo