Ushauri wa faculty kwa Round ya nne ya application

Ushauri wa faculty kwa Round ya nne ya application

ushahd

Senior Member
Joined
Jul 30, 2019
Posts
176
Reaction score
104
Habari za Leo wadau,kwanza tunamshukuru Mungu kwa kupatiwa nafasi tena ya kuapply round ya nne kwetu sisi ambao hatujapata nafasi za vyuo,tunawashukuru TCU kwa kulitambua hili nakutupatia nafasi tena,sasa ombi langu ni kwamba mm nimesoma Cbg combination na nilichagua course kama microbiology, agronomy, human nutrition,environmental, biotechnology,.Naomba ushauri wa course ambaye naweza kupata ambayo Hata nikikosa hajira yaweza kunipa fursa ya kujiajili,karibuni kwa maoni yenu,Ahsante
 
Mim pia naomba kuuliza ,nimechaguliwa chuo kimoja lakin sijaridhika na machaguzi waliofanya ,je nikiomba tena kutakuwa na shida yoyote?
 
Wakati una kichagua hukujua kama hukitaki ??...Kama ni course ungeenda uka badili ukifika au usubri transifer ya vyuo iki fika uta hama
Mim pia naomba kuuliza ,nimechaguliwa chuo kimoja lakin sijaridhika na machaguzi waliofanya ,je nikiomba tena kutakuwa na shida yoyote?
 
Back
Top Bottom