Ushauri wa elimu

Ushauri wa elimu

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
1,222
Reaction score
786
Wadau naombeni kuelimishwa.

Binti yangu kamaliza Form Four kapata Div 1 ya point 10. Alifanya masomo ya biashara na kafaulu vizuri katika masomo husika.

Safari yake ya maisha anataka kuja kuwa Diplomat. Je ni combination gani asome A-level ambayo itakuwa na mchango katika safari yake?
 
HKL itamfaa zaidi
Wadau naombeni kuelimishwa. Binti yangu kamaliza form four kapata Div 1 ya point 10. Alifanya masomo ya biashara na kafaulu vizuri katika masomo husika. Safari yake ya maisha anataka kuja kuwa diplomat. Je ni combination gani asome A-level ambayo itakuwa na mchango katika safari yake???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom