Ushauri wa busara

Ushauri wa busara

ELNEY

Senior Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
106
Reaction score
48
Habari za siku wana MMU.....
poleni na majukumu na kila siku

Mimi aisee ngoja niende moja kwa moja kwenye mada aisee...
Ama kweli kwenye vitabu vitakatifu hawajakosea kuandika kuwa hawa viumbe tuishi nao kwa akili ...
Takribani mwaka mmoja na nusu saivi nilianza mahusiano na binti mmoja mrembo aisee moyo wangu aliushika sana ...
Baada ya approach to ambayo ilichukua karibu mwezi kukubali alinipa masharti moja tuu kuwa hamna sex mpaka ndoa ..
Na mimi kwa kua mtoto nimempenda na mzuri na mcha Mungu mtoto wa kiislamu swala tano haikauki kwa huyu mlimbwende basi nikasema hapa Nisiwe na pupa. ..
Aiseeee Mpenzi upofu Nilimvumilia sana bila hata kula mzigo hata kushika titi ila hakuna mtu aliyekua anajua kuwa kama sijawahi kula. .
Mimi mkristo na yeye binti Muslim ila kwa kua Tunapendana ilibidi kwa hiari yake aanze kwenda kanisani mpaka mimi ni kaanza kushangaa kuwa huu upendo sio mchezo kwa kufupisha yapo mengi yalijiri ila...
Kubwa zaidi hili la kukaa na binti kama pesa kidogo ya Matumizi nampa kwa week laki mpaka laki na nusu hadi mbili na pia nilimsaidia kumsomesha chuo kuanzia yupo second year mpaka anamaliza mana alipata mkopo kama 50% kwenye 120000/=
Yapo mengi tuliyapitia kwenye mahusiano. ..
Kizunguzungu hiki week ya pili hata akili haipo sawa ...
Week zilizopita aisee mPenzi wangu nilienda kumtolea posaa wazazi wake walisema kama milioni tano ila Tulifanya mazungumzo mpaka milioni tatu na nusu nililipa cash. .
Sasa siku tatu baada ya posa binti sijui nini Anishawishika alikuja home tulilala kitanda kimoja. ..
Aiseeee ulikua usiku mchungu kwangu siwezi kusahau mana Nilimvumilia nilijua kama alivyokua anasema dhambi kwakua yeye Bikra. ..
Niliyoyakuta sio ya hapa binti katumika na tena mzoefu aise mood iliisha niliishia kufunga Goli moja ..
Niliondoka ghafla room nilienda kulala Hotelini kwa hasira....
Nilimuacha analia tuu home kila akipiga simu sipokei na sms sijibu. .
Yani mtu mcha Mungu kabisa aisee wanawake hawa siwaamini tenaaa

Week saivi na zaidi nipo tu kitaa full stress jamani na vikao vinaendelea miezi sita ijayo ili tufunge ndoa ila mpaka hapa sijui la kufanya nimevurugika jamani ...
Naombeni hekima zenu please ushauri ndugu zangu
 
A. Alitumiwa akajirekebisha sasa anataka awe nawe tu kwani kuna shida?

B. bikra zinatoka kwa namna nyingi sio kwa kufanya sex tu.

C. kujua kufanya au kuwa fundi hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kuwa anafanyaga. wewe kuna mtu alikufundisha kuingiza na kuchochea??

Wewe ungeangalia mienendo ya mtoto ma sio kuanza kuwaza ya nyuma. ukiingia kwenye ndoa na haya mawazo utaishindwa.
 
Bikra sio kitu kama umempenda kweli, shida tu ni kwamba kwanini akudanganye,,,? Na usikute alikua anatumika kwingine,,pole ila unaweza kimsamehe mkafunga ndoa. Ila umwambie aaache uongo
Mkuu....hapo kwenye kudanganya sio mara moja mara nyingi tuu tulikua tunagombana kwa maana alikua anapenda kutumia simu kidogo kucharti mara kwa mara Nikimuuliza huwa unacharti na nani Anajibu kwa usanii tuu....
Na sms zake sijamjibu anazoomba msamaha kuwa alifanya mara moja tu na jamaa wake aliyemtoa Bikra. .
Ila mimi naona kabisa hapa kuna makinikia hapo ndio tatizo
 
A. Alitumiwa akajirekebisha sasa anataka awe nawe tu kwani kuna shida?

B. bikra zinatoka kwa namna nyingi sio kwa kufanya sex tu.

C. kujua kufanya au kuwa fundi hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kuwa anafanyaga. wewe kuna mtu alikufundisha kuingiza na kuchochea??

Wewe ungeangalia mienendo ya mtoto ma sio kuanza kuwaza ya nyuma. ukiingia kwenye ndoa na haya mawazo utaishindwa.
Mkuu...Hiyo B...
yeye kaniomba msamaha kuwa huyo jamaa aluyemtoa Bikra kuwa ndio alifanya naye mara moja tu ila mimi naona makinikia kabisa
 
Hivi zile mada za kusema usimsomeshe mwanamke asiye ndugu yako ili uje umuoe huwa hamzisomi?? Kumsomesha mwanamke asiye ngudu yako ruksa tu kama unatoa msaada kibin adamu pasipo kutegemea lolote mbeleni. Sasa hapa unahuzunika na mambo mawili naona,
1. Ada yako uliyomsaidia
2. Umekuta mambo sio
Hapo kama kweli unampenda hayo hayajalishi kitu, kama ana tabia njema, anakupenda pia, mnaelewana... Ndugu huyo oa.
 
Last edited:
Hahaa...mkuu yani kinachoniumiza mtu makinikia kabisa yani unajua kabisa huyu mzoefu maana yake huo mwaka alikua anagawa kwa siri kabisa
Ndio inakubidi uvumulie mkuu wadada wa sasa hivi huko chini kwa sasa ni kwa kukuletea watoto ila ukisema unataka ku enjoy tafuta na wewe dogodogo yaani hakuna ladha kabisa......

Wengi wao walitumiwa sana kipindi cha nyuma kabla ya kuingia kwenye ndoa
 
Hivi zile mada za kusema usimsomeshe mwanamke asiye ndugu yako ili uje umuoe huwa hamzisomi?? Kumsomesha mwanamke asiye ngudu yako ruksa tu kama unatoa msaada kibin adamu pasipo kutegemea lolote mbeleni. Sasa hapa unahuzunika na mambo mawili naona,
1. Ada yako uliyomsaidia
2. Umekuta mambo sio
Hapo kama kweli unampenda hayo hayajalishi kitu, kama ana tabia njema, anakupenda pia, mnaelewana... Ngudu huyo oa.
Shida tabia ya uongo mana kuna ugomvi ulitokeaga awali kwa sababu alikua ana charti na watu kwa simu ndogo nikimuuliza nasema hawa rafiki yangu tuu..lakini saivi sina trust kabisa
 
Mkuu...Hiyo B...
yeye kaniomba msamaha kuwa huyo jamaa aluyemtoa Bikra kuwa ndio alifanya naye mara moja tu ila mimi naona makinikia kabisa
nimekuelewa.

Ok sasa ishu nini yeye kutokuwa na bikra au kukudanganya hajawahi kufanya huku amefanya?

Tuje kwako. wewe leo ukiulizwa na mwanamke umepita na wanawake wangapi utataja kona zote ulizopita hadi zile mbaya.

swali langu linalenga wewe deal na tabia zake za sasa kama kweli zinakushawishi yeye kuwa mkeo.

ya nyuma achana nayo...Naye ni mwanamke alikuwa anatongozwa kuna vidume kama wewe nao walishafanya yao.
 
Shida tabia ya uongo mana kuna ugomvi ulitokeaga awali kwa sababu alikua ana charti na watu kwa simu ndogo nikimuuliza nasema hawa rafiki yangu tuu..lakini saivi sina trust kabisa
Hapo pana tatizo sasa..... UAMINIFU ZERO.
 
nimekuelewa.

Ok sasa ishu nini yeye kutokuwa na bikra au kukudanganya hajawahi kufanya huku amefanya?

Tuje kwako. wewe leo ukiulizwa na mwanamke umepita na wanawake wangapi utataja kona zote ulizopita hadi zile mbaya.

swali langu linalenga wewe deal na tabia zake za sasa kama kweli zinakushawishi yeye kuwa mkeo.

ya nyuma achana nayo...Naye ni mwanamke alikuwa anatongozwa kuna vidume kama wewe nao walishafanya yao.
Shida uongo wake mana hata nyuma tuliwahi kugombana kisa masuala ya uongo
 
Shida uongo wake mana hata nyuma tuliwahi kugombana kisa masuala ya uongo
Kwanini umeomba ushauri mechi ikiwa dakika 90 sasa!

vikao vya harusi vimeshaanza wqzazi utawaambiaje maana naona umeshai-set mind huyu demu hafai?


Kama uyaongeayo ni ya kweli... sio mwaminifu...tahadhari tu hakuna binadamu anayeweza kuwa mwaminifu 100%. uamuzi ni wako.
 
Kwanini umeomba ushauri mechi ikiwa dakika 90 sasa!

vikao vya harusi vimeshaanza wqzazi utawaambiaje maana naona umeshai-set mind huyu demu hafai?


Kama uyaongeayo ni ya kweli... sio mwaminifu...tahadhari tu hakuna binadamu anayeweza kuwa mwaminifu 100%. uamuzi ni wako.
Mkuu nilijua makosa ya kibinadamu kabisa yani ila hili la sasa kichwa kinauma sana
 
Back
Top Bottom