Ushauri wa bure: Umri na ndoa

Jakaya Mungu wako?????????????????????? acha ujinga

ungesumbua akili yako japo kidogo,nimeweka mfano wa jakaya sababu wengi wetu tumemuona akiwa na mkewe,na hiyo tofaut ya umri haionekani,tatizo tuition zimewaharibu kuchambua jambo imekua tabu kizazi nyie...kajinga kamoja!
 
Mtoa mada na wanao kusapoti nina shaka na uwelewa wenu..
Hata siku moja usiweke kigezo cha umri kama kipimo cha maarifa baina ya mwanaume na mwanamke..wewe utakua ni kilaza nambari moja..

Uwelewa na hekma ya me/ke ni mazingira alipokuziwa sio miaka(range)

Na kama ni miaka wadada wengi below 30yrs ni vilaza wakutupa tegemezii..
 
Wanawake wanakua haraka na kupitia vitu vingi kabla ya mwanaume so kuwa mwanamke mnae lingana kiukweli anakuwa amepitia vitu vingi kuliko ww so anakuwa kama amekuzid vile
 
Wanawake ni werevu kwa mambo ya mahusiano(emotional intelligence),husichanganye na werevu wa kiakili(logical intelligence).
Wanaume wapo werevu kwa mambo yote yasiyohusiana na hisia/emotions.....kwa ufupi wako logically intelligent........google is your friend.
 

Mm nilivyofundishwa na mwalimu wangu wa fasihi alisema mwanamke hupevuka m?aka mitatu zaidi ya mwAnaume hivyo ni vizuri kumuoa mwanamke unayemzidi miaka kuanZia mitatu kwenda mbele....
 
Wanawake wanakua haraka urefu na ujanja wa kutoambwa. Otherwise kichwani kila mtu ana uwezo wake iwe msichana au mvulana. Kuoa mwanamke aliyekuzidi au hajakuzidi umri haijalishi kama mnapendana mnaishi tu.
 
Hahahahahahahahaha....mkuu mimi nilikuwa na agemate wangu kumbe nilikuwa nimebugi.hila sio mbaya nimetoka mbio za usain bolt
 
Thats veryyyyyy true, tena sio umri tu, umpite na pesa na elimu pia.
 
Haha..nilijua tu utaongezea vya kwako ukipita hapa.

Hivyo vya msingi mnooo pacha wangu, hawa viumbe ikiwapita chochote ni matatizo, fuuuul kujistukia, wanakuwa insecure hatari.
 
ungesumbua akili yako japo kidogo,nimeweka mfano wa jakaya sababu wengi wetu tumemuona akiwa na mkewe,na hiyo tofaut ya umri haionekani,tatizo tuition zimewaharibu kuchambua jambo imekua tabu kizazi nyie...kajinga kamoja!
kuwa na adabu...
 
20 yrs? they still too young to handle what's so called marriage...in fact they think bigger
 

Sio kweli. ukweli ni kwamba ni vema mwanaume akaoa mwanamke anayemzidi umri angalau kidogo (miaka 2 hadi 5) kwa kuwa ni wanaume wengi ndio wanaokufa mapema kuliko wanawake.
 
Huo ndio ukweli wenyewe anizidi miaka kumi, vijana wanazingua tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…