Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,563
- 28,524
Huyu nguli wa kisiasa Edward Ngoyai Lowassa anasumbuliwa sana tena sana na ndoto yake ya urais. Wattu wa aina mbali mbali wametembea kwa miguu, bodaboda na kwa ndege kwenda " kumshawishi" agombee urais kwa tketi ya CCM.
Sasa kama kiongozi yuko opular kihivyo na anafanyiwa mizengwe katika kutimiza azma ya " ndoto" yake kwa nini asianzishe chama chake a.k.a Zitto Kabwe? Mara Lowassa kafungiwa kufunua mdomo, mara anapiga kampeni , kwa nini usikate mzizi wa fitna?
Au ni ukweli usiopingika kuwa bila CCM Lowassa is dead meat!
Sasa kama kiongozi yuko opular kihivyo na anafanyiwa mizengwe katika kutimiza azma ya " ndoto" yake kwa nini asianzishe chama chake a.k.a Zitto Kabwe? Mara Lowassa kafungiwa kufunua mdomo, mara anapiga kampeni , kwa nini usikate mzizi wa fitna?
Au ni ukweli usiopingika kuwa bila CCM Lowassa is dead meat!