Ushauri wa bure kwa wanaume

Ushauri wa bure kwa wanaume

hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?

Kama tunatumiana kauli kama 'nimemgonga','nimemla',nimemlamba' huwa yanatoka wapi?
Kuhusu swali la pili kwa kweli mimi vyotevvyote hapo....magonjwa naogopa sana na wivu ninao sana. Yan that feeling kwamba kuna mtu anapetiwa kama mimi,anabembelezwa kama nnavyobembelezwa mimi.....daaah it makes me sick
 
umri gani?????

mambo ya kuchezewa hayapogi.... watu huwa wanatafuta mere excuse tu...

Umri wowote ule utakaojisikia unahitaji kweli kuolewa........

kukaa na binti miaka kadhaa unamtooomba we halafu akifika age fulani unamtosa unachukuwa mwanamke mwingine fasta unaoa hiki nini sasa?
 
Umri wowote ule utakaojisikia unahitaji kweli kuolewa........

kukaa na binti miaka kadhaa unamtooomba we halafu akifika age fulani unamtosa unachukuwa mwanamke mwingine fasta unaoa hiki nini sasa?

uchumba sugu huo matokeo yake ndio hayo

halafu ñi mnat..mbana. hilo tendo si mnafanya wote wawili
 
Kama tunatumiana kauli kama 'nimemgonga','nimemla',nimemlamba' huwa yanatoka wapi?
Kuhusu swali la pili kwa kweli mimi vyotevvyote hapo....magonjwa naogopa sana na wivu ninao sana. Yan that feeling kwamba kuna mtu anapetiwa kama mimi,anabembelezwa kama nnavyobembelezwa mimi.....daaah it makes me sick

Na usipokuwa na wivu ujue hamna mapenz hapo
 
Pipi ya kijiti? Mi nilidhani anawapa somo wanawake wenzake jinsi ya kula pipi kijiti.
 
hili neno linanikera.... "wanaume wanatutumia alafu wanatuacha" utumiwe wewe umekuwa chakula?
wakati unatumiwa wewe ulikuwa unafanyeje?

sema TUMETUMIANA TUKAKOSEANA TUKAACHANA..

2. Hutaki mwenzio atoke nje ya mahusiano kwa sababu ya wivu au magonjwa?
kama magonjwa huko nje si tunatumia kinga? narudi kwako bila kukuletea magonjwa.. shida ni nini?

umri wako tafadhali...
 
Hayawani na nani living things ndivyo vinavyotumiwa...

wengineo kama mnajitambua, basi mnatumiana.

salute!
 
Mara nyingi wachepukaji wanapenda kupendwa
 
Back
Top Bottom