Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,103
- 128,722
Wanabodi
Angalizo la Uchangiaji
Naomba kuianza hii mada kwa angalizo la uchangiaji,
JF ilipoanzishwa,it was ment to be the home for great thinkers。
Simple mind discuss people
Ordinary mind discuss events
Great mind discuss idea
Mada iliyopo mezani ni NRNE,ya Chadema ,hii ni mada ya ideas ya hoja ya Chadema,if there is no reforms,there will be no election!,wenye mamlaka wanasema uchaguzi upo,Chadema wanahamsisha watu bila mabadiliko,wasishiriki uchaguzi,hivyo kama watu wote wataitikia then siku ya uchaguzi watakinukisha na uchaguzi hautafanyika! . Hii ni hoja ya great mind!
Simple mind wao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani,wao watajadili watu!,watamjadili mtoa mada。
Ordinary mind wao watajadili event ya nyomi za watu kuhudhiria mikutano ya NRNE
Great mind,wao watajadili hoja iliyopo mezani,wataujadili ushauri uliotolewa na ama kusubiria kushangaa jinsi wananchi watakavyo jitokeza kushiriki uchaguzi siku ya uchaguzi,au kama ni kweli watajitokeza kukinukisha!。
Licha ya Tofauti Zetu Wana。JF tu Wamoja
Wanajf, pamoja na tofauti zetu za kisiasa kiuchumi na kijamii, we are one family,tuna upendo wa kifamilia, wana CCM wanawashauri wana Chadema na vice versa!kitu muhimu ni upendo,wana jf tupendane,tuheshimiane,tushirikiane,tujadiliane kwa lugha la staha,tusitukanane,tutangulize mbele uzalendo kwa maslahi ya taifa letu。
Ukiona mwenzako anapotea na ataangamia,ni upendo unakusukuma kumsaidia,kumuelimisha kuhusu upotovu aliomo na kumrudisha kwenye line,asipotee,asiangamie!。Kumweleza Ukweli, Mtu Anayedanganywa ni Kumsaidia!, Asante Balozi Dr. Nchimbi Kuwaambia Ukweli CHADEMA
Kupitia bandiko hili la Mkuu Mshana Jr ,Wakuu jaribuni basi ku balance mzani
Nimenote watu wanahamanika sana na hizi nyomi za makundi ya watu kwenye mikutano ya NRNE,hivyo kujipa matumaini kuwa somo la NRNE,limewaingia Watanzania,hivyo wataiunga mkono Chadema kwa kususia uchaguzi na siku ya uchaguzi watajitokeza kwa wingi hivi hivi kukinukisha uchaguzi usifanyike ili iwe kweli hakuna uchaguzi!
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa ndugu zangu,jamaa zangu na rafiki zangu wa Chadema wakiwemo wafuasi wao na wananchi wengine wote kawaida,wanaohamanika na NRNE,kwanza nawatia moyo kuendelea ku fight for a good cause, kupigania mabadiliko,keep “hope for the best”,kuwa changes zitafanyika kabla ya uchaguzi mkuu,na mimi naomba kujitanabaisha wazi kuwa hitaji la mabadiliko madogo kabla ya uchaguzi mkuu ni verygenuine demands,na mimi nimepandisha mabandiko lukuki nikisisitizia umuhimu wa minimum reforms za katiba kabla ya uchaguzi!。
Hili ni bandiko la kuwaandaa kisaikolojia wawe tayari kupokea matokeo halisi ya ukweli kwa ku get prepared for the worst!,msihamanike sana kwa kudanganywa na hizi nyomi za makundi ya watu!,hakuna mwanasiasa aliyekuwa na nyomi za makundi ya watu kama Lyatonga Mrema ile 1995 na Edward Lowassa ile 2015,lakini walikuja kushangaa!Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Kuna watu wakiona nyomi za NRNE,wanadhani ndio kuungwa mkono!,hakuna nyomi kubwa kama ya Lowassa ile 2015 Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?
na bado alipigwa chini!。
Vivyo hivyo,msibabaishwe na hizi nyomi za NRNE, mtashangaa!,pale mtakapo shuhudia hakuna Mtanzania atakayesusia kushiriki uchaguzi ile October,hivyo kujikuta kumbe mlikuwa mkitwanga maji kwenye kinu!
Najua kuna watu mtanichukia,ila mtu anaye waambia ukweli mchungu,ndie mtu anayewapenda kwa dhati!,kwasababu ukipania sana huku umehamanika sana,ukikikosa ulichopania,utaumia sana,lakini kama umeandaliwa kabla kupokea maumivu,ukiyapokea huku umejiandaa,hayauimizi sana kama kudungwa sindano,itaingia huku unaona,utavumilia!
ila kwa sisi wa longi tunajua all the games people play,1995 ilikuwa hivi kwa NCCR Mageuzi na Lyatonga,2015 was the same kwa Chadema na moto wa Lowassa.
The game ya siasa zetu haichezwi kwenye zile dakika 90 uwanjani,the game inachezwa mezani!。
Huyu Maza kaingia na nia njema ya dhati,kaitisha timu zote zikae mezani,tujadili kwa pamoja the rules of the game,watu mkakataa!,akina sisi watazamaji wazuri wa huu mchezo,tukawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
mkagoma kwa kisingizio hamuwezi kukubali kukaa mezani huku mnene wenu yuko 'pahala salama'!。Tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? 。 Huyu mama alivyo Rahimu na asivyo mtu wa hiyana,akatusikiliza akatenda Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! mnene wenu sio tuu akaachiwa,bali pia mapene mkavutishwa,mkamwagiwa!,ndipo mkakaa mezani!,mkakubaliana kugawana nusu mkate,mambo yalikuwa yanakwenda safi!
Mara Mbelgiji katua nchini akawavuruga!,sisi watu wa jicho la tatu takaona, tukawatonya kwa kuwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Sumu ikawaingia,mara Kamanda akatangaza kukosa imani,na kujuta kukaa mezani, sisi watu wa ushauri,tukamshauri Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
Kamanda akaamua Mbelgiji hatufai hivyo kwenye uchaguzi wa ndani mkamletea lile tutusa ,jamaa akasirika ndipo akaamua kumpandia kamanda kule kule juu kileleni na kumpopoa kwa mtindo wa tutabanana hapa hapa kwenye ile vita ya ama zake ama zangu!,ama zao,ama zetu!,mimi kama kawaida yangu kwanza nikawashauri Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
Hapa na mimi naomba kukiri udhaifu wangu,sikuamini kama TAL angeshinda!hivyo nikamshari kukubali matokeo na kukubali kushindwa Pre GE2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
Najivunia kuchangia kufanyika uchaguzi wa haki Chadema kupitia onyo hili The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!. mara ndio pap,kamanda chali!kichaa kachukua chama,kakamata usukani,mwendo ni mzobe mzobe!
NRNE ya kamanda sio kususia uchaguzi bali kushinikiza reforms na kama hakutafanyika reforms basi Chadema haitashiriki!,kamanda mpya katangaza vita na wenye mamlaka,kuwa bila reforms,hakuna uchaguzi!,kitu ambacho ni impossible!,sisi washauri wa bure,tukashauri tena Pre GE2025 - DSM - Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati si ndio akatangaza kukinukisha,, wenye mamlaka ndio kama hivyo wameamua kumuhifadhi mahala sana kupisha uchaguzi kwa kumbambikia uhaini !,kwenye hili la uhaini, its a mistake Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!
Ila pia kwenye hili la uhaini, msiwe na shaka wala wasiwasi Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason! hakuna kesi hapo!。
Kwa vile the real game inachezwa mezani,na matokeo yanapatikania mezani ila yanatangaziwa uwanjani , ile timu ya ushindi,tuliisha maliza kazi siku nyingi!,matokeo tayari tunayo kibindoni,uzuri wa jf ni kuwa wa kwanza kujua,nami mwana jf mwenzenu wa kule sina hiyana nimewajulisha wazi kabisa Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
Hizi kukuru kakara zenu,ni kukuru kakara za mtu anayetafuta,bila kujua kuwa tafuta yote hii ni kujifurahisha tuu,na kuimalizia hiyo ruzuku ya mwisho mwisho!,wenzenu ni watu waliopata, ushindi tayari wanao kibindoni, wahangaikie nini?, ndio maana wametulia tuu,wamejituliza tuli ,wanasubiria tuu siku ya siku ya kipenga kipulizwe wapeleke timu na kuingiza uwanjani kukamilisha tuu zile taratibu za kumtangaza mshindi!
Siku hiyo ni siku ya
Unachukua。。 。
Unaweka。。。
malizia。。 。。
Paskali
Angalizo la Uchangiaji
Naomba kuianza hii mada kwa angalizo la uchangiaji,
JF ilipoanzishwa,it was ment to be the home for great thinkers。
Simple mind discuss people
Ordinary mind discuss events
Great mind discuss idea
Mada iliyopo mezani ni NRNE,ya Chadema ,hii ni mada ya ideas ya hoja ya Chadema,if there is no reforms,there will be no election!,wenye mamlaka wanasema uchaguzi upo,Chadema wanahamsisha watu bila mabadiliko,wasishiriki uchaguzi,hivyo kama watu wote wataitikia then siku ya uchaguzi watakinukisha na uchaguzi hautafanyika! . Hii ni hoja ya great mind!
Simple mind wao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani,wao watajadili watu!,watamjadili mtoa mada。
Ordinary mind wao watajadili event ya nyomi za watu kuhudhiria mikutano ya NRNE
Great mind,wao watajadili hoja iliyopo mezani,wataujadili ushauri uliotolewa na ama kusubiria kushangaa jinsi wananchi watakavyo jitokeza kushiriki uchaguzi siku ya uchaguzi,au kama ni kweli watajitokeza kukinukisha!。
Licha ya Tofauti Zetu Wana。JF tu Wamoja
Wanajf, pamoja na tofauti zetu za kisiasa kiuchumi na kijamii, we are one family,tuna upendo wa kifamilia, wana CCM wanawashauri wana Chadema na vice versa!kitu muhimu ni upendo,wana jf tupendane,tuheshimiane,tushirikiane,tujadiliane kwa lugha la staha,tusitukanane,tutangulize mbele uzalendo kwa maslahi ya taifa letu。
Ukiona mwenzako anapotea na ataangamia,ni upendo unakusukuma kumsaidia,kumuelimisha kuhusu upotovu aliomo na kumrudisha kwenye line,asipotee,asiangamie!。Kumweleza Ukweli, Mtu Anayedanganywa ni Kumsaidia!, Asante Balozi Dr. Nchimbi Kuwaambia Ukweli CHADEMA
Kupitia bandiko hili la Mkuu Mshana Jr ,Wakuu jaribuni basi ku balance mzani
Nimenote watu wanahamanika sana na hizi nyomi za makundi ya watu kwenye mikutano ya NRNE,hivyo kujipa matumaini kuwa somo la NRNE,limewaingia Watanzania,hivyo wataiunga mkono Chadema kwa kususia uchaguzi na siku ya uchaguzi watajitokeza kwa wingi hivi hivi kukinukisha uchaguzi usifanyike ili iwe kweli hakuna uchaguzi!
Huu ni ushauri wangu wa bure kwa ndugu zangu,jamaa zangu na rafiki zangu wa Chadema wakiwemo wafuasi wao na wananchi wengine wote kawaida,wanaohamanika na NRNE,kwanza nawatia moyo kuendelea ku fight for a good cause, kupigania mabadiliko,keep “hope for the best”,kuwa changes zitafanyika kabla ya uchaguzi mkuu,na mimi naomba kujitanabaisha wazi kuwa hitaji la mabadiliko madogo kabla ya uchaguzi mkuu ni verygenuine demands,na mimi nimepandisha mabandiko lukuki nikisisitizia umuhimu wa minimum reforms za katiba kabla ya uchaguzi!。
- Ombi kwa Rais Samia: Japo wengi wape, wachache pia wasikilizwe, Hoja ya kufanya minimum reforms za Katiba ni hoja ya msingi sana kuliko hata Sheria!
- Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?
- Pre GE2025 - Je, Wajua bila minimum Reforms za Katiba, Uchaguzi Mkuu wote utakuwa ni batili?Sababu,INEC,Katiba ya ZnZ na Sheria Mpya ya Uchaguzi Zote ni Batili
- Ushauri wa Bure Chadema: Moja Shika Sii Kumi Nenda Rudi!Hoja ya Reforms Japo ni Hoja ya Msingi Sana KufanyaMaandalizi ya Uchaguzi ni Busara Muhimu!
- The Voices From Within: Tundu Lissu ni Mpango wa Mungu, NRNE ni Mpango wa Shetani, ni li Pepo! Limemkumba Lissu!, Akiachana Nalo, Anatinga Ikulu 2025!
- Pre GE2025 - Lissu na kauli mbiu ya “No Reforms, No Election” ni mipango ya Mungu au ya Shetani kutusambaratisha?
Hili ni bandiko la kuwaandaa kisaikolojia wawe tayari kupokea matokeo halisi ya ukweli kwa ku get prepared for the worst!,msihamanike sana kwa kudanganywa na hizi nyomi za makundi ya watu!,hakuna mwanasiasa aliyekuwa na nyomi za makundi ya watu kama Lyatonga Mrema ile 1995 na Edward Lowassa ile 2015,lakini walikuja kushangaa!Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Kuna watu wakiona nyomi za NRNE,wanadhani ndio kuungwa mkono!,hakuna nyomi kubwa kama ya Lowassa ile 2015 Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'?
na bado alipigwa chini!。
Vivyo hivyo,msibabaishwe na hizi nyomi za NRNE, mtashangaa!,pale mtakapo shuhudia hakuna Mtanzania atakayesusia kushiriki uchaguzi ile October,hivyo kujikuta kumbe mlikuwa mkitwanga maji kwenye kinu!
Najua kuna watu mtanichukia,ila mtu anaye waambia ukweli mchungu,ndie mtu anayewapenda kwa dhati!,kwasababu ukipania sana huku umehamanika sana,ukikikosa ulichopania,utaumia sana,lakini kama umeandaliwa kabla kupokea maumivu,ukiyapokea huku umejiandaa,hayauimizi sana kama kudungwa sindano,itaingia huku unaona,utavumilia!
Mkuu Mshana Jr ,tumekuelewaJe asili inachukua mkondo wake? Does nature taking its cause!?💪🏿✌🏿
Tulipofika ni A point of no return.. Na hakuna nguvu inayotumika bali mambo yanaenda yenyewe.. Very natural.. Very automatically..!
Ni wakati wa mabadiliko na hakuna nguvu ya kibinadamu kuizuia. ndivyo hivyo navyo CHADEMA inavyoenda kuchukua nchi
Sijui mnanielewa?
Good morning TANGANYIKA,💗
ila kwa sisi wa longi tunajua all the games people play,1995 ilikuwa hivi kwa NCCR Mageuzi na Lyatonga,2015 was the same kwa Chadema na moto wa Lowassa.
The game ya siasa zetu haichezwi kwenye zile dakika 90 uwanjani,the game inachezwa mezani!。
Huyu Maza kaingia na nia njema ya dhati,kaitisha timu zote zikae mezani,tujadili kwa pamoja the rules of the game,watu mkakataa!,akina sisi watazamaji wazuri wa huu mchezo,tukawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.
mkagoma kwa kisingizio hamuwezi kukubali kukaa mezani huku mnene wenu yuko 'pahala salama'!。Tukamuombea msamaha Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye? 。 Huyu mama alivyo Rahimu na asivyo mtu wa hiyana,akatusikiliza akatenda Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito! mnene wenu sio tuu akaachiwa,bali pia mapene mkavutishwa,mkamwagiwa!,ndipo mkakaa mezani!,mkakubaliana kugawana nusu mkate,mambo yalikuwa yanakwenda safi!
Mara Mbelgiji katua nchini akawavuruga!,sisi watu wa jicho la tatu takaona, tukawatonya kwa kuwauliza Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Sumu ikawaingia,mara Kamanda akatangaza kukosa imani,na kujuta kukaa mezani, sisi watu wa ushauri,tukamshauri Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!
Kamanda akaamua Mbelgiji hatufai hivyo kwenye uchaguzi wa ndani mkamletea lile tutusa ,jamaa akasirika ndipo akaamua kumpandia kamanda kule kule juu kileleni na kumpopoa kwa mtindo wa tutabanana hapa hapa kwenye ile vita ya ama zake ama zangu!,ama zao,ama zetu!,mimi kama kawaida yangu kwanza nikawashauri Chadema Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?
Hapa na mimi naomba kukiri udhaifu wangu,sikuamini kama TAL angeshinda!hivyo nikamshari kukubali matokeo na kukubali kushindwa Pre GE2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!
Najivunia kuchangia kufanyika uchaguzi wa haki Chadema kupitia onyo hili The Voices From Within: Warning kwa Chadema, Be Very Careful, Msifanye Ujinga Wowote!, Mkileta Tuu Ujinga!, Tarehe 21 Jan. Kutakuwa Hakuna Uchaguzi!. mara ndio pap,kamanda chali!kichaa kachukua chama,kakamata usukani,mwendo ni mzobe mzobe!
NRNE ya kamanda sio kususia uchaguzi bali kushinikiza reforms na kama hakutafanyika reforms basi Chadema haitashiriki!,kamanda mpya katangaza vita na wenye mamlaka,kuwa bila reforms,hakuna uchaguzi!,kitu ambacho ni impossible!,sisi washauri wa bure,tukashauri tena Pre GE2025 - DSM - Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati si ndio akatangaza kukinukisha,, wenye mamlaka ndio kama hivyo wameamua kumuhifadhi mahala sana kupisha uchaguzi kwa kumbambikia uhaini !,kwenye hili la uhaini, its a mistake Uhaini My God!. Kuna Uwezekano Anadanganywa na Kadanganyika? I Don't Believe This!. Sitatizwi na Uongo Wao, Natatizwa na The Motives Behind Such Lies!
Ila pia kwenye hili la uhaini, msiwe na shaka wala wasiwasi Pre GE2025 - Wazalendo Wapenda Haki, Msiwe na Wasiwasi, Uhaini ni Matendo na Mipango Mkakati wa Kuutenda, Sio Maneno!, Maneno ni Sedition tuu na Sio Treason! hakuna kesi hapo!。
Kwa vile the real game inachezwa mezani,na matokeo yanapatikania mezani ila yanatangaziwa uwanjani , ile timu ya ushindi,tuliisha maliza kazi siku nyingi!,matokeo tayari tunayo kibindoni,uzuri wa jf ni kuwa wa kwanza kujua,nami mwana jf mwenzenu wa kule sina hiyana nimewajulisha wazi kabisa Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
Hizi kukuru kakara zenu,ni kukuru kakara za mtu anayetafuta,bila kujua kuwa tafuta yote hii ni kujifurahisha tuu,na kuimalizia hiyo ruzuku ya mwisho mwisho!,wenzenu ni watu waliopata, ushindi tayari wanao kibindoni, wahangaikie nini?, ndio maana wametulia tuu,wamejituliza tuli ,wanasubiria tuu siku ya siku ya kipenga kipulizwe wapeleke timu na kuingiza uwanjani kukamilisha tuu zile taratibu za kumtangaza mshindi!
Siku hiyo ni siku ya
Unachukua。。 。
Unaweka。。。
malizia。。 。。
Paskali