kwenye kuiombea nchi hapo ungewaelekeza maeneo ya kuombea, ni yepi? kwa sababu katika hali ya kawaida kama kuna watu wanaotenda mabaya yanayoathiri nchi na wananchi, cha kuomba hapo ni Mungu apigane upande wa wanaoonewa tu, huwezi kumuombea dhurumati, mtekaji na muuaji ili aendelee kuua. ni kukimbilia kwa Mungu na kusema ee Mungu, ona watesi wetu wanavyowinda roho za wasio na hatia, pigana upande wetu, tuokoe. tukiomba hivyo, hakika ewe mwanadamu katika maisha yako utakua na nafuu kama utahukumiwa na wanadamu, ukiona Mungu ameingilia kati hukumu yake hautastahimili.