Ushauri wa bure kwa Samia Suluhu Hassan

Ushauri wa bure kwa Samia Suluhu Hassan

Kitchener

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
13,823
Reaction score
27,695
1. Hapakuwa na umuhimu wowote kukamata Tundu Lissu na hizi forced disappearances za kina mdude, soka na wengine, hata Lisu angeongea namna gani, angechoka, hata chadema ingeenda kwenye uchaguzi na wewe, nakuhakikishia wasingeshida, ccm bado ilikuwa na watu wengi, ungeshida uchaguzi bila yote haya, though kuna majimbo kadhaa wangeshinda, jambo ambalo ni zuri kwa uongozi ili wakukosoe bungeni.

2. Safari zako zoote ulizokula kodi zetu kwenda kurekebisha uhusiano na wazungu, zimeambulia patupu, vitu vya kuvumiliana tu hivi vimekuchafua. magufuli alikuwa kama wewe, akaharibu, ndio maana ulivyoingia tu ukashauriwa na wanaokupenda uzunguke kurekebisha mahusiano na nchi zile, mahusiano yakarudi, nchi ikatengamaa, mzunguko wa pesa ukarudi, watanzania wakaanza kupata furaha waliyopoteza kwa miaka 5 ya jiwe. kwa kifupi, uchaguzi huu ungeshida bila yote haya.

3. Rais wa bunge la ulaya atakuja na ujumbe kwako, tafadhali, jifanya mjinga siku ipite, kubali kumwachia Lisu ili nchi itengamae na tusielekee kulee kwa magufuli ambako wananchi waliishi kwa shida sana, pesa mtaani ilifutika, hatutaki uturudishe kule.

4. Bado uharibifu haujafika mbali sana, bado unaweza kuelekeza vijana wako wawaachie vijana wanaotafutwa kama kina mdude na soka etc, LISU aachiwe huru aendelee na kampeni, atakutukana, ataongea wee lakini nakuhakikishia kwenye uchaguzi ataambulia tu wabunge, hawezi kuwa Rais, wewe utashinda urais. ukifanya hivyo, jina lako litapona, nchi yetu itapona.

5. Umegombana na viongozi wa dini hasa wakatoliki, na wakristo wote, ni muhimu uwasikilize, wewe umewekwa hapo na wananchi, haujawekwa hapo na makaratasi, ulipigiwa kura pamoja na jiwe ndio ukapata icho kiti, ni wananchi wamekuweka hapo, duniani kote watawala huwa hawashindani na wananchi, kwenye mambo ya msingi, huwa wanawasikiliza wananchi. hivi kweli mapadre na maaskofu wooote hao wawe hawana akili kwa wananchosema? kweli kanisa katoliki lote na makanisa mengine ambayo hayasemi ila chini kwa chini yananung'unika, wawe hawana akili na kwamba kila wananchosema sio cha kusikiliza?]

6. J.Kikwete akung'ate sikio, ukitaka kumshinda mpinzani, mwache abwekeee, wewe fanya matendo ya maendeleo, mdomo ameumbiwa mwanadamu, anao ndio maana anaongea, waache wapinzani waongee, wee tekeleza ilani, nakuhakikishia yote wasemayo wapinzani yatakuwa makapi tu. hakuna haja ya kuumizana.

7. Mimi ni mfanyabiashara na mwanasheria, kipindi cha jiwe, pesa zilivyoisha mtaani, wafanyabiashara wenzangu wengi sana walikufa. why? walikopa benki, mzunguko wa pesa ulivyokata kwa sababu jiwe alijifanya kuleta kibesi kwa wazungu, nyumba walizoweka rehani ziliuzwa, biashara zilikata, watu walikufa kwa pressure, PLEASE, bajeti ya nchi yetu haiwezi kutimia bila kutembeza bakuli, walinde hao wanaotuletea pesa, wafanyakazi wataumia na wafanyabiashara pia. tafadhali.

8. Mwisho, mimi sio mwanasisiemu, siwezi kuipigia kura sisiemu, though najua hata nisipokupigia utashinda, kwa sababu ukweli ni kwamba pamoja na kwamba kuna wapinzani lakini sio wengi kama wanaccm, hakuna haja kuumizana mama, wewe umejitangaza mtu wa dini, tunza jina lako na legacy yako ikumbukwe kwa mema.

Mungu akusaidie.
 
kama uzi huu usipofutwa, naomba washauri wake wampelekee hii habari, hatutaki kuishi kama mashetani kipindi cha magu, wazungu wakiamua kukupiga spana atakosa hadi hela za kulipa mishahara, atakosa hadi hela za maendeleo, hatuna uwezo kupambana nao. magu alifanya madubwasha mengi ila hakuwekewa resolution, yaan wazungu waamke asubuhi wanaenda bungeni kwa ajili ya Tanzania, hakufikiwa hatua hiyo, wewe wamekuwekea kikao kabisa, watu wamekula posho leo kwa ajili yako, unafikiri nini kinakuja? achia vijana, achia Lisu nenda kwenye meza muyamalize, tunataka kuishi vizuri hatuna uhitaji na hizo siasa zenu ambazo wanaofaidika zaidi ni familia zetu tu (be it chadema au ccm). wananchi ndio wanaumia, na hapo hawajafika kwa Trump, atakunyoosha, stuka kabla.
 
Mama najua huna namba yangu ila kuna zawadi yako ya cheni
 
Pumba kwenye ubora wake
kama ni pumba, wewe andika ya kwako ambayo sio pumba ili watu wasome. tunaipenda hii nchi ndio maana tunahangaika hadi kuandika hivi. kwa mtu yeyote mwenye akili anajua hali si shwari huku mtaani, kuna mambo kadhaa ya kurekebisha.
 
1. Hapakuwa na umuhimu wowote kukamata Tundu Lissu na hizi forced disappearances za kina mdude, soka na wengine, hata Lisu angeongea namna gani, angechoka, hata chadema ingeenda kwenye uchaguzi na wewe, nakuhakikishia wasingeshida, ccm bado ilikuwa na watu wengi, ungeshida uchaguzi bila yote haya, though kuna majimbo kadhaa wangeshinda, jambo ambalo ni zuri kwa uongozi ili wakukosoe bungeni.

2. Safari zako zoote ulizokula kodi zetu kwenda kurekebisha uhusiano na wazungu, zimeambulia patupu, vitu vya kuvumiliana tu hivi vimekuchafua. magufuli alikuwa kama wewe, akaharibu, ndio maana ulivyoingia tu ukashauriwa na wanaokupenda uzunguke kurekebisha mahusiano na nchi zile, mahusiano yakarudi, nchi ikatengamaa, mzunguko wa pesa ukarudi, watanzania wakaanza kupata furaha waliyopoteza kwa miaka 5 ya jiwe. kwa kifupi, uchaguzi huu ungeshida bila yote haya.

3. Rais wa bunge la ulaya atakuja na ujumbe kwako, tafadhali, jifanya mjinga siku ipite, kubali kumwachia Lisu ili nchi itengamae na tusielekee kulee kwa magufuli ambako wananchi waliishi kwa shida sana, pesa mtaani ilifutika, hatutaki uturudishe kule.

4. Bado uharibifu haujafika mbali sana, bado unaweza kuelekeza vijana wako wawaachie vijana wanaotafutwa kama kina mdude na soka etc, LISU aachiwe huru aendelee na kampeni, atakutukana, ataongea wee lakini nakuhakikishia kwenye uchaguzi ataambulia tu wabunge, hawezi kuwa Rais, wewe utashinda urais. ukifanya hivyo, jina lako litapona, nchi yetu itapona.

5. Umegombana na viongozi wa dini hasa wakatoliki, na wakristo wote, ni muhimu uwasikilize, wewe umewekwa hapo na wananchi, haujawekwa hapo na makaratasi, ulipigiwa kura pamoja na jiwe ndio ukapata icho kiti, ni wananchi wamekuweka hapo, duniani kote watawala huwa hawashindani na wananchi, kwenye mambo ya msingi, huwa wanawasikiliza wananchi. hivi kweli mapadre na maaskofu wooote hao wawe hawana akili kwa wananchosema? kweli kanisa katoliki lote na makanisa mengine ambayo hayasemi ila chini kwa chini yananung'unika, wawe hawana akili na kwamba kila wananchosema sio cha kusikiliza?]

6. J.Kikwete akung'ate sikio, ukitaka kumshinda mpinzani, mwache abwekeee, wewe fanya matendo ya maendeleo, mdomo ameumbiwa mwanadamu, anao ndio maana anaongea, waache wapinzani waongee, wee tekeleza ilani, nakuhakikishia yote wasemayo wapinzani yatakuwa makapi tu. hakuna haja ya kuumizana.

7. Mimi ni mfanyabiashara na mwanasheria, kipindi cha jiwe, pesa zilivyoisha mtaani, wafanyabiashara wenzangu wengi sana walikufa. why? walikopa benki, mzunguko wa pesa ulivyokata kwa sababu jiwe alijifanya kuleta kibesi kwa wazungu, nyumba walizoweka rehani ziliuzwa, biashara zilikata, watu walikufa kwa pressure, PLEASE, bajeti ya nchi yetu haiwezi kutimia bila kutembeza bakuli, walinde hao wanaotuletea pesa, wafanyakazi wataumia na wafanyabiashara pia. tafadhali.

8. Mwisho, mimi sio mwanasisiemu, siwezi kuipigia kura sisiemu, though najua hata nisipokupigia utashinda, kwa sababu ukweli ni kwamba pamoja na kwamba kuna wapinzani lakini sio wengi kama wanaccm, hakuna haja kuumizana mama, wewe umejitangaza mtu wa dini, tunza jina lako na legacy yako ikumbukwe kwa mema.

Mungu akusaidie.
Daaah! ushauri murua sana.

Haya kwako sasa chura kiziwi! mpira upo kwako
 
Ishu ya no reform no election sisi ccm hatukua na majibu na namna ya ku deal nayo zaidi ya ubabe!!

Bahati mbaya waliousuka huu mchongo ni akili kubwa kuliko walioshika sehem kubwa ya maamuzi ya nchi hii!

"No reform no election ni kama sime au panga lenye makali pande zote!

Tulikua hatuna namna zaidi ya kufanya tulichofanya na tulipewa muda wa kutosha kuepka lakini kama kawaida tulidhani tunaa akili kuliko waliotuweka madarakani!!

Ni hivyo tu!
 
kama uzi huu usipofutwa, naomba washauri wake wampelekee hii habari, hatutaki kuishi kama mashetani kipindi cha magu, wazungu wakiamua kukupiga spana atakosa hadi hela za kulipa mishahara, atakosa hadi hela za maendeleo, hatuna uwezo kupambana nao. magu alifanya madubwasha mengi ila hakuwekewa resolution, yaan wazungu waamke asubuhi wanaenda bungeni kwa ajili ya Tanzania, hakufikiwa hatua hiyo, wewe wamekuwekea kikao kabisa, watu wamekula posho leo kwa ajili yako, unafikiri nini kinakuja? achia vijana, achia Lisu nenda kwenye meza muyamalize, tunataka kuishi vizuri hatuna uhitaji na hizo siasa zenu ambazo wanaofaidika zaidi ni familia zetu tu (be it chadema au ccm). wananchi ndio wanaumia, na hapo hawajafika kwa Trump, atakunyoosha, stuka kabla.
Kwanini Viongozi wa CCM wanakua hawajiamini kwa mfano Magufuri, Samia kwani wakiwaacha Wapinzani wawe wanaongea na kufanya mikutano kwani kuna shida gani? Mfano Tundu lisu na Heche si awaache wawe wanaongea na kufanya mikutano yao kama wakina Makala na Nchimbi wanavyofanya, Wananchi wengi wanaumia na kumchukia Raisi na Polisi wake kwa Wanavyo wafanyia wapinzani, aikubaliki Nchimbi na Makala wao hawa kamatwi.
 
Ishu ya no reform no election sisi ccm hatukua na majibu na namna ya ku deal nayo zaidi ya ubabe!!

Bahati mbaya waliousuka huu mchongo ni akili kubwa kuliko walioshika sehem kubwa ya maamuzi ya nchi hii!

"No reform no election ni kama sime au panga lenye makali pande zote!

Tulikua hatuna namna zaidi ya kufanya tulichofanya na tulipewa muda wa kutosha kuepka lakini kama kawaida tulidhani tunaa akili kuliko waliotuweka madarakani!!

Ni hivyo tu!
Mkuu kwanini CCM inashindwa kuvumilia neno la No reform no election, kwasababu Viongozi wa Chadema wanawaambia Wanachama wao hayo maneno ya No reform sasa CCM kwanini wanaumia wakati vyama vingine vimekubali uchaguzi
 
Hapakuwa na umuhimu wowote kukamata Tundu Lissu na hizi forced disappearances za kina mdude, soka na wengine, hata Lisu angeongea namna gani, angechoka, hata chadema ingeenda kwenye uchaguzi na wewe, nakuhakikishia wasingeshida, ccm bado ilikuwa na watu wengi, ungeshida uchaguzi bila yote haya
Hii "ANGECHOKA" naomba itoe kwenye Ushauri wako, Yule Jamaa LISSU huo msamiati wa kuchoka haupo kwenye kamusi yake, yule ndugu kwenye mambo anayoyafahamu vizuri, atayasema hadi anaingia kaburini. Ana hio karama ya kuzungumza(amezaliwa hivyo). Hili hata Mkulu anajua 100%.

Ukiona Mkulu anachukua hizo hatua ujue kuna threat ameiona ambayo wewe huwezi iona kwa kuwa huna taarifa sahihi.

USHAURI wako ni mzuri, ila unayemshauri bado hajaweza kujua tofauti ya KUNG-Fu na zile Lugha za ishara.

Sinking ship.
 
1. Hapakuwa na umuhimu wowote kukamata Tundu Lissu na hizi forced disappearances za kina mdude, soka na wengine, hata Lisu angeongea namna gani, angechoka, hata chadema ingeenda kwenye uchaguzi na wewe, nakuhakikishia wasingeshida, ccm bado ilikuwa na watu wengi, ungeshida uchaguzi bila yote haya, though kuna majimbo kadhaa wangeshinda, jambo ambalo ni zuri kwa uongozi ili wakukosoe bungeni.

2. Safari zako zoote ulizokula kodi zetu kwenda kurekebisha uhusiano na wazungu, zimeambulia patupu, vitu vya kuvumiliana tu hivi vimekuchafua. magufuli alikuwa kama wewe, akaharibu, ndio maana ulivyoingia tu ukashauriwa na wanaokupenda uzunguke kurekebisha mahusiano na nchi zile, mahusiano yakarudi, nchi ikatengamaa, mzunguko wa pesa ukarudi, watanzania wakaanza kupata furaha waliyopoteza kwa miaka 5 ya jiwe. kwa kifupi, uchaguzi huu ungeshida bila yote haya.

3. Rais wa bunge la ulaya atakuja na ujumbe kwako, tafadhali, jifanya mjinga siku ipite, kubali kumwachia Lisu ili nchi itengamae na tusielekee kulee kwa magufuli ambako wananchi waliishi kwa shida sana, pesa mtaani ilifutika, hatutaki uturudishe kule.

4. Bado uharibifu haujafika mbali sana, bado unaweza kuelekeza vijana wako wawaachie vijana wanaotafutwa kama kina mdude na soka etc, LISU aachiwe huru aendelee na kampeni, atakutukana, ataongea wee lakini nakuhakikishia kwenye uchaguzi ataambulia tu wabunge, hawezi kuwa Rais, wewe utashinda urais. ukifanya hivyo, jina lako litapona, nchi yetu itapona.

5. Umegombana na viongozi wa dini hasa wakatoliki, na wakristo wote, ni muhimu uwasikilize, wewe umewekwa hapo na wananchi, haujawekwa hapo na makaratasi, ulipigiwa kura pamoja na jiwe ndio ukapata icho kiti, ni wananchi wamekuweka hapo, duniani kote watawala huwa hawashindani na wananchi, kwenye mambo ya msingi, huwa wanawasikiliza wananchi. hivi kweli mapadre na maaskofu wooote hao wawe hawana akili kwa wananchosema? kweli kanisa katoliki lote na makanisa mengine ambayo hayasemi ila chini kwa chini yananung'unika, wawe hawana akili na kwamba kila wananchosema sio cha kusikiliza?]

6. J.Kikwete akung'ate sikio, ukitaka kumshinda mpinzani, mwache abwekeee, wewe fanya matendo ya maendeleo, mdomo ameumbiwa mwanadamu, anao ndio maana anaongea, waache wapinzani waongee, wee tekeleza ilani, nakuhakikishia yote wasemayo wapinzani yatakuwa makapi tu. hakuna haja ya kuumizana.

7. Mimi ni mfanyabiashara na mwanasheria, kipindi cha jiwe, pesa zilivyoisha mtaani, wafanyabiashara wenzangu wengi sana walikufa. why? walikopa benki, mzunguko wa pesa ulivyokata kwa sababu jiwe alijifanya kuleta kibesi kwa wazungu, nyumba walizoweka rehani ziliuzwa, biashara zilikata, watu walikufa kwa pressure, PLEASE, bajeti ya nchi yetu haiwezi kutimia bila kutembeza bakuli, walinde hao wanaotuletea pesa, wafanyakazi wataumia na wafanyabiashara pia. tafadhali.

8. Mwisho, mimi sio mwanasisiemu, siwezi kuipigia kura sisiemu, though najua hata nisipokupigia utashinda, kwa sababu ukweli ni kwamba pamoja na kwamba kuna wapinzani lakini sio wengi kama wanaccm, hakuna haja kuumizana mama, wewe umejitangaza mtu wa dini, tunza jina lako na legacy yako ikumbukwe kwa mema.

Mungu akusaidie.
Sijui kama anashaurika.
Sijui kama anakuelewa.
Sijui kama anaona unachoona
Sijui kabisa
Sijui anachotaka
Sijui hakika
 
Kwanini Viongozi wa CCM wanakua hawajiamini kwa mfano Magufuri, Samia kwani wakiwaacha Wapinzani wawe wanaongea na kufanya mikutano kwani kuna shida gani? Mfano Tundu lisu na Heche si awaache wawe wanaongea na kufanya mikutano yao kama wakina Makala na Nchimbi wanavyofanya, Wananchi wengi wanaumia na kumchukia Raisi na Polisi wake kwa Wanavyo wafanyia wapinzani, aikubaliki Nchimbi na Makala wao hawa kamatwi.
nadhani wanashauriwa vibaya hasa na tiss na mapolisi. wanaamini vitisho na kuumiza watu kutaleta taharuki alafu wao wapitiepo kushinda. huu uchaguzi wangeshinda hata bila kuumizana.
 
Ishu ya no reform no election sisi ccm hatukua na majibu na namna ya ku deal nayo zaidi ya ubabe!!

Bahati mbaya waliousuka huu mchongo ni akili kubwa kuliko walioshika sehem kubwa ya maamuzi ya nchi hii!

"No reform no election ni kama sime au panga lenye makali pande zote!

Tulikua hatuna namna zaidi ya kufanya tulichofanya na tulipewa muda wa kutosha kuepka lakini kama kawaida tulidhani tunaa akili kuliko waliotuweka madarakani!!

Ni hivyo tu!
kwani, kama wakiboresha tume, unafikiri chadema wangeshinda? mnachoogopa ni nini, boresheni tume na kushinda mngeshida tu. kama kununua, hiyo tume mngeshindwa kuinunua hata kama ni independent? kama mmewanunua kina mrema wa chadema na kina mbowe, hao tume mngeshindwa?
 
Sijui kama anashaurika.
Sijui kama anakuelewa.
Sijui kama anaona unachoona
Sijui kabisa
Sijui anachotaka
Sijui hakika
wengi hatujui hivyo hivyo, ila kuwashauri tutawashauri hatutachoka. bado tunaipenda hii nchi.
 
Ni kweli hakukuwa na sababu ya kumkamata lissu. Hii ccm ina mizizi mikubwa sana. Kuna majimbo mengi mno ni ngome ya ccm, ccm itashinda kwa wingi hata wapinzani wote waunganishe nguvu ccm itashinda tu. Hao wanaomshauri wanampa ushauri mbaya
 
Ni kweli hakukuwa na sababu ya kumkamata lissu. Hii ccm ina mizizi mikubwa sana. Kuna majimbo mengi mno ni ngome ya ccm, ccm itashinda kwa wingi hata wapinzani wote waunganishe nguvu ccm itashinda tu. Hao wanaomshauri wanampa ushauri mbaya
 
Back
Top Bottom