Ushauri wa bure kwa chama chetu cha ccm

Ushauri wa bure kwa chama chetu cha ccm

koryo

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2010
Posts
639
Reaction score
278
Mimi ni mpenzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI lakini kwa hali inavyoonekana Chama kinaelekea shimoni kwa ajili ya mpasuko unaonekana hivi sasa. Lowassa atakapoamua kurudisha kadi kwa kweli atahama na watu wengi sana na usishangae hata Wenyeviti wa Chama chetu wengi watamfuata. Ushauri wangu ni kuwa Lowassa aitwe kiungwana na Chama chetu na kumwomba RADHI kwa yote yaliyotokea kwenye mchujo wa mgombea Urais na kwenye kikao hicho wawepo Wazee kama Mhe. Mzee Mwinyi, Mhe. Mzee Malecela na Mhe. Mzee Mkapa. Ichukuliwe kwamba kuomba radhi siyo kujishusha ila ni jambo la kiungwana.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Aombwe radhi ya namna gani?? Yaani wamrudishie nafasi yake ya kugombea urais au?? Hujasomeka ndugu. Lowasa anataka kuingia Magogoni hata kwa saa mbili tu. Je, utamwomba radhi yeye au Magufuli kuwa amwachie agombee kuingia Ikulu hata siku moja tu ajiuzulu.
Kyama kyetu kimeshakufa mazishi kabla ya Oktober 2015. No retreat no surrender boy.
 
Mapokezi ya Mwigulu Mwanza yanazidi kuwapa kiburi na kuona kama vile ndio wameshashinda uraisi.
 
Mimi ni mpenzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI lakini kwa hali inavyoonekana Chama kinaelekea shimoni kwa ajili ya mpasuko unaonekana hivi sasa. Lowassa atakapoamua kurudisha kadi kwa kweli atahama na watu wengi sana na usishangae hata Wenyeviti wa Chama chetu wengi watamfuata. Ushauri wangu ni kuwa Lowassa aitwe kiungwana na Chama chetu na kumwomba RADHI kwa yote yaliyotokea kwenye mchujo wa mgombea Urais na kwenye kikao hicho wawepo Wazee kama Mhe. Mzee Mwinyi, Mhe. Mzee Malecela na Mhe. Mzee Mkapa. Ichukuliwe kwamba kuomba radhi siyo kujishusha ila ni jambo la kiungwana.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
Kwa hiyo walifanya upuuzi makusudi kukata jina lake. Wakiri kuwa walikuwa na malice katika kufanya hivyo. hawakuwa na sababu ya msingi kufanya hivyo, wakili kuwa walikurupuka!!!!!!!!!!!!!!! NEVER ON EARTH
 
Back
Top Bottom