nimeweka malalamiko yangu hapa baada ya kuona deus wa kingstaa ANANIONEA WIVU.....!
najiuliza wivu unakujaje wakati ana mke na watoto?
Huyo Deus yuko humu apate ujumbe???
Huyo Deus yuko humu apate ujumbe???
Kwani lazima muwe na mipango ya kando?
Mngemaliza mambo yenu kabla hamjaoa/kuolewa.
Wivu hauzuiliki iwapo mnashare hisia.
Nimjibie?
ukweli siwezi jua kama yupo au la....!ingawa anatumia blakbeli kusurf....!
nimeamua kutoa kile kilichopo moyoni baada ya kuona roho yangu inahangaika....!
inakuaje anionee wivu?
YULE SI WAKE...WALA SI WANGU!...MIMI NINA WANGU NYUMBANI...YEYE ANA WAKE NYUMBANI....!kwanin wivu?
"If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?"
"If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?" ........Askofu, JF Mkuranga
nimepaniki....!
Ungeruhusiwa kuoa wewe ungekua na Mpango wa kando!!Asante dada Husninyo, hili swali ni la msingi sana
Asante dada Husninyo, hili swali ni la msingi sana
mkuu kimya sana siku hizi...!
najiandaa kuikimbia zinaa mkuu
Ungeruhusiwa kuoa wewe ungekua na Mpango wa kando!!
Kwa sasa nakosa jina la kuwaita hao ulio nao! lol
Ukitaka kuikimbia zinaa, kamchukulie Deusi crap yake ajue. Akikutwanga makonde na kupukuchua meno kadhaa hutarudia tena.
BTW zinaa inakimbiwaje?
Mpango wa kando ni dhambi Kimey, ni Uzinzi, Mungu hapendi
Bora unisaidie Kyabu.............Sijui dhambi maana yake ni nini? dah!