Ushauri: Vyuo visivyo na ushindani Civil Engeneering

Ushauri: Vyuo visivyo na ushindani Civil Engeneering

Ilambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
475
Reaction score
89
Habarini wana JF.

Nina mdogo wangu alimaliza shule ya ufundi O-level form six kapiga PCM. Mwaka 2009 na kapata phy D,chem S,na math E,akawa ameend dip ya ualim sasa ni mwl anafundisha somewhere, sasa anapenda sana engineering mwaka jana akaomba bachelor civil enginrng MUST, UDSM, Ardhi ila hakupata.

Sasa anaomba msaada wa kimawazo kuwa ni vyuo gan ambavyo havina ushindani il akiomba tena asikose!
 
Kwakoziii yakee hakuna vyuoo etii ambavyoo havina ushindaniii labdaa st augustine mwanza ilaa ma PCM na watuu wanaosoma math related combinations wapo wengii na wanafaulu sanaasee so alishindwaa competition huyoo mwambiee ajaribuu tenaa mwaka huu akikosaa mwambiee hata diploma siombayaa sianapendaa toka kumoyoo bhanaaa
 
hasante kwa ushaur,cjui wanatoa mikopobl kwa dip ya engineering
 
akasome chuo cha saut mwanza huko hakuna competition kivile
 
hasante kwa ushaur,cjui wanatoa mikopobl kwa dip ya engineering

Diplomaa hakuna mikopo asee labdaa hizii za ualimu wa diploma za msingii udom tuu kwaaupeoo wakoo ushawahii skia wapii wanatoa diploma mikopo
 
Habarini wana JF.

Nina mdogo wangu alimaliza shule ya ufundi O-level form six kapiga PCM. Mwaka 2009 na kapata phy D,chem S,na math E,akawa ameend dip ya ualim sasa ni mwl anafundisha somewhere, sasa anapenda sana engineering mwaka jana akaomba bachelor civil enginrng MUST, UDSM, Ardhi ila hakupata.

Sasa anaomba msaada wa kimawazo kuwa ni vyuo gan ambavyo havina ushindani il akiomba tena asikose!

Mpeleke dit akapige diploma 3 yrs through mature entry, it's private.. akitoka hapo hakosi ajira na anaweza kupga degree chuo chochote
 
wakuu hasanten.saut naonaga admission capacity ni 30,cjui wanazingatia kwe
 
akikosa itabid ht dip apiga japo inakuwa km wastage of time coz kapita A level
 
dogo chagua must,st.joseph,dit,udsm wapo vzuri bt saut daaah lakn ujue nn sifa ni gamba lako tu na uwezo cku ya mwisho.....
 
Habarini wana JF.

Nina mdogo wangu alimaliza shule ya ufundi O-level form six kapiga PCM. Mwaka 2009 na kapata phy D,chem S,na math E,akawa ameend dip ya ualim sasa ni mwl anafundisha somewhere, sasa anapenda sana engineering mwaka jana akaomba bachelor civil enginrng MUST, UDSM, Ardhi ila hakupata.

Sasa anaomba msaada wa kimawazo kuwa ni vyuo gan ambavyo havina ushindani il akiomba tena asikose!
Aombe st Joseph akikosa najiua
 
sant joseph ht akiweka ya nne hakosi??
 
ntamshaur sant joseph awwke ya mwisho.mwanzo aanze na must, dit,Nit.wdmi na sant joseph
 
Visivyo na ushindani darasani.
ni vyote vya watu binafsi/mashirika.
Mf. Ni vyuo vya mashirika ya dini

Visivyo na ushindani sokoni

-Dit
-Udsm
-ATC
-+
 
Back
Top Bottom