Ushauri unatakikana kwa wazee wetu

bidodo

JF-Expert Member
Jan 16, 2013
217
90
Ushauri wenu wazeeplease na vijana kwa ujumla

Eti kwa nini wazee wengi wa miaka ya sasa inapotokea rizki kwa binti yaokuposwa wanakataa. Ukitizama binti ashafikia age ya kuolewa. Sababu kubwa inatolewa anasoma. Kwani hawezikusoma akiwa kwa mumewe mtu age inafikia au kukaribia 27. Hivi ndo manawasichana wanaharibikiwa na kuwa na sifa mbaya kwa sababu hawawezi kucontrolhisia zao. Hivi sizani kama kuna dini inaamrisha mtoto wa kike kucheleweshwakuolewa age ikifikia. Hii si busara au mnaonaje wadau. Kwani mtu hawezikuendelea kusoma akiwa na mumewe. Kuna hasara gani kubwa na faida gani.
Michango yenu please
 
Nadhani kusoma ukiwa na majukumu ya ndoa inakua ngumu kidogo...thats why wanaamua wamalize kwanza kusoma then hiyo hatua nyengine ifuate..
Hakuna mzazi anaetaka mwanae akose stara (ndoa) aendelee kutanga tanga na ulimwengu ila tu kwanza wana focus na dreams za watoto wao..
Wanaume wenyewe wa siku hizi ukiwa golikipa wakunyanyase wee mpaka...
 
Ok iyo kweli farkhina ila kuna rafki yangu kaolewa na bado anasoma chuo au mpaka uzeeke mtoto wa kike
 
Last edited by a moderator:
Unachosema farkhina ni kweli kabisa, kusoma huku ukiwa tayari una majukumu ya kifamilia ni ngumu sana. Halafu inataka mume muelewa ambaye atakupa support kubwa sana ili kuhakikisha unafanya vizuri katika masomo yako, vinginevyo masomo yako yanaweza kuwa chanzo cha ugomvi kila leo ndani ya nyumba na kusababisha kutofanya vizuri katika masomo.


Nadhani kusoma ukiwa na majukumu ya ndoa inakua ngumu kidogo...thats why wanaamua wamalize kwanza kusoma then hiyo hatua nyengine ifuate..
Hakuna mzazi anaetaka mwanae akose stara (ndoa) aendelee kutanga tanga na ulimwengu ila tu kwanza wana focus na dreams za watoto wao..
Wanaume wenyewe wa siku hizi ukiwa golikipa wakunyanyase wee mpaka...
 
Last edited by a moderator:
Ushauri wenu wazeeplease na vijana kwa ujumla

Eti kwa nini wazee wengi wa miaka ya sasa inapotokea rizki kwa binti yaokuposwa wanakataa. Ukitizama binti ashafikia age ya kuolewa. Sababu kubwa inatolewa anasoma. Kwani hawezikusoma akiwa kwa mumewe mtu age inafikia au kukaribia 27. Hivi ndo manawasichana wanaharibikiwa na kuwa na sifa mbaya kwa sababu hawawezi kucontrolhisia zao. Hivi sizani kama kuna dini inaamrisha mtoto wa kike kucheleweshwakuolewa age ikifikia. Hii si busara au mnaonaje wadau. Kwani mtu hawezikuendelea kusoma akiwa na mumewe. Kuna hasara gani kubwa na faida gani.
Michango yenu please
Ndoa hai[o kwa ajili ya kukidhi hisia....

Ungesema zinaaa ningekuelewa, mtu anayeolewa ili tu kukidhi hisia ndoa huwa haidumu siku zote
 
asigwa sasa wewe unashauri vipi? Au bora mtoto asieke mawazo ya ndoa mpaka amalize chuo
 
Last edited by a moderator:
^^
Macho ya wazee wetu yameona mengi na miguu yao imepita njia nyingi.
..
Mzazi mwenye akili timamu hawezi kuruhusu binti yake aangukie mtu asie na uhakika nae.
Ndoa ni zaidi ya hisia za kupenda tu.
...
Wanakwepa lawama.
Mapenzi ya vyuoni yalivyo kosa uhakika halafu wale mahari ya mtu! Wanastahi utu wao
..
Aliyekutangulia kuona ndevu za jua,,hakushangai ukilalama kwenye jivu la mwezi.
^^
 
huwa wazazi wanapenda "all good things na best ones", viende kwa watoto wao, na wanafahamu maisha ya ndoa yalivo na majukumu mengi, hivyo huwa wanaonelea ni vyema watoto wakapata elimu ili wajitosheleze ndo waweze kuingia kwenye upande wa pili wa maisha.
 
Naomba kufahamu hapa mlalamikaji ni binti au kijana muoaji??!
 
mwache amalize shule ila si busara sana mtoto kapata mwenzi unamzuia kisa elimu zaidi kama ni elimu ya juu.............. sioni sababu mwishoni wanasota sana dada zetu na kuzalia nyumbani....
 
Asilimia kubwa ya wasichana walokuwa na elimu ya juu umri umekwenda ukija kutahamaki ni 25+ yrs...kuolewa na kusoma at the same time inataka uwe ngangali...na upate mume muelewa kama alivyosema BAK kwasababu maisha ya ndoa si lelemama..na wengi wakishaingia kwenye taasisi hii wanataka pia watoto kwa ujumla majukumu yanakuwa mengi..ila wenye nia wanatimiza malengo yao..nina shost moja anasoma tangia ameolewa na sasa ana mtoto wa pili na anachukua masters..so it is possible!
 
Last edited by a moderator:
Mentor mwanamke ataka mume ila wazee wamegoma mpaka amalize chuo wakati umri unaenda nae atamani ndoa hataki kuwa na mahusiano nje bila ndoa
 
Last edited by a moderator:
mimi49 umeona ehhh mii naona makubaliano tu mkishakubaliana hamna tatizo ndoa stara na dada zetu wanaharibikiwa baadae kuzaa nje.
 
Last edited by a moderator:
Unachosema farkhina ni kweli kabisa, kusoma huku ukiwa tayari una majukumu ya kifamilia ni ngumu sana. Halafu inataka mume muelewa ambaye atakupa support kubwa sana ili kuhakikisha unafanya vizuri katika masomo yako, vinginevyo masomo yako yanaweza kuwa chanzo cha ugomvi kila leo ndani ya nyumba na kusababisha kutofanya vizuri katika masomo.

Kabisaaa.....na anaweza yeye yeye kukuahidi kukuendeleza kimasomo akishakuoa tu ana badili maamuzi...hapo sasa utafanyaje ndoa waitaka na kusoma wataka alimradi balaa tu...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ok iyo kweli farkhina ila kuna rafki yangu kaolewa na bado anasoma chuo au mpaka uzeeke mtoto wa kike

No sio hivo its ok unaweza soma ukiwa na familia ila umakini wako kwenye masomo utakua tofauti na asie na majukumu kama hayo..matatizo ya familia utayabeba hadi chuoni muda wa discussion huna may be hupati ruhusa au una mambo mengine unafanya...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kweli mimi49 inawezekana kabisa mke kusoma ndani ya ndoa lakini kikubwa ni kuwa na mume muelewa. Kama mume si mulewa au maamuzi yake yanayumbishwa na ndugu, jamaa na marafiki basi mke kusoma ndani ya ndoa ni ngumu mno. Wengine waliokuwemo ndani ya ndoa hupata bahati na kupata scholarship nchi za nje kwa Masters na kama watafanya vizuri basi wataunganisha na PhD. Sasa ukute ndio wana watoto wadogo mume anaweza kutumia sababu ya kuwa na watoto wadogo kumkatalia mwenzie kujiendeleza kielimu kwa kudai watoto wanahitaji "mapenzi ya mama" na kama ndugu, jamaa na marafiki wanampa maneno ya kutomruhusu mwenzie na mume ni rahisi kuyumbishwa basi ndio imetoka hiyo, lakini mke akibahatika kuwa na mume muelewa atamwambia nenda mwenzangu kwani elimu yako si kwa manufaa yako tu bali pia kwa manufaa ya familia yetu. Watoto wadogo ndio lakini mie nitajitahidi sana kuona hawakosi mapenzi yangu kama baba.

Asilimia kubwa ya wasichana walokuwa na elimu ya juu umri umekwenda ukija kutahamaki ni 25+ yrs...kuolewa na kusoma at the same time inataka uwe ngangali...na upate mume muelewa kama alivyosema BAK kwasababu maisha ya ndoa si lelemama..na wengi wakishaingia kwenye taasisi hii wanataka pia watoto kwa ujumla majukumu yanakuwa mengi..ila wenye nia wanatimiza malengo yao..nina shost moja anasoma tangia ameolewa na sasa ana mtoto wa pili na anachukua masters..so it is possible!
 
Last edited by a moderator:
Kwangu ukimpenda binti yangu na unaamua kuoa while she at level ya chuo kikuu nakubali kwa sharti la mume kuhakikisha anamsimamia hadi amalize chuo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwangu ukimpenda binti yangu na unaamua kuoa while she at level ya chuo kikuu nakubali kwa sharti la mume kuhakikisha anamsimamia hadi amalize chuo.

hakuna shida Mama, unaye binti wa kuoa nije fastaa?
 
Back
Top Bottom