Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

Lutena

Member
Joined
May 26, 2015
Posts
31
Reaction score
4
Natanguliza salamu wakuu,

Nina msichana tulikuwa tunafanya naye kazi pamoja katika kampuni moja, yeye kielimu kanizidi mimi ni standard seven, kwa sasa yupo chuo mwaka wa tatu anasomea Sheria.

Kama unavyo jua kawaida ya wavulana usione binti mzuri nini unamtokea, ni kweli aliitikia hatimaye tukawa pamoja katika mahusiano yapata miezi minane.

Lakini katika miezi yote ile papuchi nilishaiona mara mbili tu na penyewe ni kwa shida sana, pindi mwaka jana alikuwa mwaka wa pili chuo UDS na kwa sasa huu mwaka wa tatu yupo SAUT.

Tangu ajiunge pale hakuna cha simu wa SMS na hata mimi nikimpigia mara asipokee SMS hata kujibu hamna. Naumia kwa hili hii hapa na ndio ilikuwa tegemeo langu la kumuoa.

Nifanyeje jamani, naombeni ushauri jamani nitashukuru
.
 
Ushagundua unaibiwa unasubiri nn??? Ushatemwa kk pole sana katafute maji ugide
 
Alikuwa anapunguza stress kwako, mbona kawaida songa mbele kijana
 
Huyo alikukubalia tu kwasababu ya upweke.
Hlf huo uhamisho wa chuo ni khatari, unaibiwa wewe.
 
Hivi kwa Bongo mwanafunzi wa shahada anaweza akahama chuo kikuu kama uhamisho wa shule za msingi au sekondari?

Yawezekana alidisco uds ndio akaenda huko saut.
huwa wanapokelewa ila unarudia mwaka ule uliodisco na ada na kila kitu unajitegemea.
hii mimi nina ushahidi nayo
 
Hivi kwa Bongo mwanafunzi wa shahada anaweza akahama chuo kikuu kama uhamisho wa shule za msingi au sekondari?

Hakuna kitu cha hvyo tatzo elimu na kuto dadisi mambo kwake anaona aibu ndo maana hajui chochote adi grfrnd wake anamdangany kahamia saut il asimsumbue kumbe yumo humohum dar.
 
yawezekana alidisco uds ndio akaenda huko saut.
huwa wanapokelewa ila unarudia mwaka ule uliodisco na ada na kila kitu unajitegemea.
hii mimi nina ushahidi nayo

Okay...

Ila maelezo ya huyu bwana yanaonesha kama mpenzi wake katoka mwaka wa pili chuo kimoja kaendelea mwaka wa tatu huko SAUT...

Hata hivyo niliuliza kwa kuwa sijui utaratibu wa masomo wa vyuo vikuu vya TZ...
 
Hivi kwa Bongo mwanafunzi wa shahada anaweza akahama chuo kikuu kama uhamisho wa shule za msingi au sekondari?

Siku hizi wanahama, ila unakoenda kuwe na course sawa na unakotoka, pia unit ulizosoma ziwe zimeendana na kule ukoonde. ila hapa kwa mtoa mada hapa sijaelewaaa kabisaaaaaaa, maana najua kuhama ni mwaka wa kwanza tu kama sikosei.
 
Hakuna kitu cha hvyo tatzo elimu na kuto dadisi mambo kwake anaona aibu ndo maana hajui chochote adi grfrnd wake anamdangany kahamia saut il asimsumbue kumbe yumo humohum dar.

Siku hizi unahama best, huo utaratibu upo na unatambulika na vyuo vyote ukiongozwa na TCU.
 
Back
Top Bottom