kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,635
Habarini wakuu.
Naombeni msaada katika hili.Nilikutana na mdada Mmoja hapa dar akanielezea kwamba aliolewa na akabahatika kuzaa mtoto Mmoja ila aliachana na mme wake kwa taraka ya ndoa mahakamani.nikawa nae miezi nane kwenye uhusiano then tukaachana.
Now imepita miezi minne toka tuachane.
Nina mdogo wangu ambaye amepata kazi kwenye taasisi moja ambayo yule mume walie achana na mpenz wangu wa zamani anafanya kazi ila wako mikoa tofauti na mdogo wangu.now yule jamaaaa anataka kumuoa mdogo wangu kwa ndoa.
So, dogo naye kajua hii situation yote haelewi afanye nn? Msaada wakuu kimawazo.
Naombeni msaada katika hili.Nilikutana na mdada Mmoja hapa dar akanielezea kwamba aliolewa na akabahatika kuzaa mtoto Mmoja ila aliachana na mme wake kwa taraka ya ndoa mahakamani.nikawa nae miezi nane kwenye uhusiano then tukaachana.
Now imepita miezi minne toka tuachane.
Nina mdogo wangu ambaye amepata kazi kwenye taasisi moja ambayo yule mume walie achana na mpenz wangu wa zamani anafanya kazi ila wako mikoa tofauti na mdogo wangu.now yule jamaaaa anataka kumuoa mdogo wangu kwa ndoa.
So, dogo naye kajua hii situation yote haelewi afanye nn? Msaada wakuu kimawazo.